Mashirika ya uchimbaji madini CAR yawekewa vikwazo na Marekani +SAUTI
Sep 28, 2020 12:18 UTC
Serikali ya Marekani imeyawekea vikwazo mashirika mawili ya Russia yanayojishughulisha na kazi ya uchimbaji madini katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kutishia kuwawekea vikwazo pia wataobainika kushirikiana na mashirika hayo.