Ukata wa fedha wavikabili vyama vya siasa Uganda +SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i63701-ukata_wa_fedha_wavikabili_vyama_vya_siasa_uganda_sauti
Vyama vya siasa nchini Uganda vinakabiliwa uhaba mkubwa wa fedha za kuendesha shughuli zao ikiwa imebakia miezi michache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
(last modified 2026-02-05T09:20:29+00:00 )
Sep 28, 2020 12:21 UTC

Vyama vya siasa nchini Uganda vinakabiliwa uhaba mkubwa wa fedha za kuendesha shughuli zao ikiwa imebakia miezi michache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.