Serikali ya Uganda yatakiwa kuzingatia maslahi ya vijana +SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i66096-serikali_ya_uganda_yatakiwa_kuzingatia_maslahi_ya_vijana_sauti
Viongozi wa vikundi vya vijana nchini Uganda wameitaka serikali ya nchi hiyo kuzingatia maslahi ya vijana wote badala ya kuwaita kila mara kwamba, wao ni viongozi wa kesho.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Jan 25, 2021 14:41 UTC

Viongozi wa vikundi vya vijana nchini Uganda wameitaka serikali ya nchi hiyo kuzingatia maslahi ya vijana wote badala ya kuwaita kila mara kwamba, wao ni viongozi wa kesho.