-
Siku ya Quds na kufichuka sura halisi ya utawala wa mauaji ya kimbari wa Israel
Apr 04, 2024 04:51Siku ya Quds mwaka huu 2024 imewadia huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiwa umekwama kwenye kinamasi cha Gaza licha ya mauaji ya kimbari unayoendelea kufanya katika eneo hilo la Palestina.
-
Kufungwa kituo cha televisheni cha Al Jazeera Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)
Apr 04, 2024 01:15Radimali ya jinai za Israel dhidi ya watu wa Gaza katika vyombo vya habari vya dunia na wimbi la upinzani na lawama za kimataifa kuhusu jinai hizo zimeufanya utawala wa Kizayuni kufunga mara moja kituo cha Televisheni ya Al-Jazeera katika Ukanda wa Gaza kutokana na jinsi inavyoakisi habari za mauaji ya kimbari ya utawala huo katika vita hivyo.
-
Baraza la Usalama UN lalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran, Damascus
Apr 03, 2024 07:19Wawakilishi waliohudhuria kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran huko Damascus (mji mkuu wa Syria) wamelaani kitendo hicho cha kinyama cha Wazayuni.
-
Tofauti ya Siku ya Quds ya mwaka huu na ya miaka iliyopita
Apr 02, 2024 22:43Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu inakaribia katika hali ambayo siku hiyo itakuwa tofauti kabisa na siku nyingie za Quds za karne hii ya 21.
-
Matokeo ya kieneo na kimataifa ya shambulio la kigaidi la utawala wa Kizayuni kwenye ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus.
Apr 02, 2024 08:14Shambulio la kigaidi la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika ubalozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Damascus bila shaka litakuwa na matokeo ya kieneo na kimataifa kwa baraza la mawaziri la kuchochea vita la Benjamin Netanyahu.
-
Sababu za utawala wa Kizayuni kulazimisha vita katika upande wa kaskazini
Apr 01, 2024 22:49Yoav Gallant, Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni, amesema kwamba utawala huo haramu utapanua operesheni zake za kijeshi katika eneo la kaskazini la ardhi zinazokaliwa kwa mabvu na kushambulia kila sehemu ya Beirut na Damascus ambapo Hizbullah ya Lebanon inaendeshea shughuli zake.
-
Msaada mpya wa silaha wa Marekani kwa Israel wa kufanyia mauaji makubwa zaidi ya kimbari ya Wapalestina
Apr 01, 2024 07:23Sambamba na juhudi zinazofanywa kimataifa kwa lengo la kusimamisha mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni; na mashinikizo yanayotolewa kwa utawala huo uhakikishe unaruhusu kuingizwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza, duru za habari za Marekani zimeripoti kuwa serikali ya Washington imeidhinisha kupatiwa Israel shehena mpya ya silaha za kisasa ili kuweza kuua idadi kubwa zaidi ya Wapalestina.
-
Ufaransa, Misri na Jordan zapinga shambulio la Rafah na kuunga mkono usitishaji vita Gaza
Mar 31, 2024 22:47Mkutano wa pande tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Jordan na Ufaransa ulifanyika Jumamosi Cairo, mji mkuu wa Misri, kuhusiana na matukio ya hivi karibuni katika vita vya Gaza na mashauriano ya kusitisha mapigano hayo.
-
Maadhimisho ya YaumuLlah, Siku ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Mar 31, 2024 06:28YaumuLlah ya tarehe 12 Farvardin mwaka 1358 Hijria Shamsia (iliyosadifiana na Aprili Mosi, 1979), yenye maana ya Siku ya Mwenyezi Mungu, si siku rasmi tu katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, bali ni siku kubwa pia kwa wanyonge duniani na kwa harakati za ukombozi pamoja na mataifa yanayopambana na dhulma, uistikbari na ukoloni.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds; mkusanyiko wa Waislamu duniani kote kutangaza mshikamano na wananchi wa Palestina
Mar 30, 2024 22:44"Siku ya Kimataifa ya Quds" mwaka huu ina umuhimu mahsusi kwa Waislamu katika nchi mbalimbali kwa kuzingatia matukio ya Gaza; ambapo Waislamu wataweza kutangaza mshikamano wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina na kuweka wazi kwa walimwengu jinai za utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake, kwa kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mbalimbali duniani.