-
BRICS, hatua inayofuata ya Iran kujiunga na jumuiya za kieneo
Jul 25, 2023 23:11Mkutano wa marafiki wa Jumuiya ya BRICS ulianza Julai 24 huko Johannesburg, Afrika Kusini, na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ikiwa moja ya nchi zilizoomba uanachama katika jumuiya hiyo, ni mmoja wa wageni muhimu wa mkutano huo.
-
Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano
Jul 25, 2023 08:14Amir wa Qatar amemteua Sultan Salmeen Saeed Al-Mansouri kuwa balozi wa mpya wa nchi hiyo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Juhudi za Iran na Serbia za kupanua ushirikiano wa kiuchumi baina yao
Jul 24, 2023 22:52Rais wa Jamhuri ya Iran amesema katika mazungumzo yake na Spika wa Bunge la Serbia kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili hususan katika nyanja za kiuchumi na kibiashara unahitaji kuboreshwa na kustawishwa zaidi.
-
Haja ya Taliban kutafakari upya vizuizi vya maombolezo ya Muharram
Jul 24, 2023 11:01Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Afghanistan limeitaka serikali ya wanamgambo wa Taliban kufikiria upya baadhi ya mibinyo na vikwazo ilivyoweka vya kufanya maombolezo ya Muharram.
-
Ombi rasmi la Algeria kujiunga na kundi la BRICS
Jul 23, 2023 23:56Katika muendelezo wa harakati ya nchi mbalimbali duniani kuelekea kwenye miungano na mashirika yasiyo ya Magharibi, Rais wa Jamhuri ya Algeria, Abdelmadjid Tebboune, amewasilisha rasmi ombi la kutaka nchi hiyo ijiunge na kundi la BRICS na kutoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa kibiashara na ushirikiano wa kiuchumi na Russia na nchi wanachama wa kundi hilo.
-
Waislamu waungana kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani huko Sweden
Jul 23, 2023 09:55Waislamu katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo Iran, Iraq, Lebanon na Nigeria wamefanya maandamano makubwa na kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden.
-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya viongozi kadhaa wa Taliban
Jul 22, 2023 22:47Baraza la Ulaya tarehe 20 mwezi huu wa Julai lilitangaza kuwawekea vikwazo Abdul Hakim Haqani Jaji Mkuu wa Mahakama ya Juu ya Afghanistan, Abdul Hakim Sharei Waziri wa Sheria na Moulavi Habibullah Agha Kaimu Waziri wa Elimu katika serikali ya mpito ya Afghanistan kwa kuhusika katika kuwanyima wasichana na wanawake wa Afghanistan haki yao ya kupata elimu, kupata haki ya kisheria, na haki sawa na wanaume wa nchi hiyo.
-
Kukaririwa kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na ulazima wa nchi za Kiislamu kutoa jibu kali
Jul 22, 2023 08:37Kwa mara ya pili katika kipindi cha wiki kadhaa za karibuni, wahusika wa kuchoma moto Qur'ani Tukufu huko Sweden wamekivunjia heshima kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu kwa ruhusa ya polisi ya nchi hiyo na baada ya kupewa kibali cha kuandamana dhidi ya Uislamu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Stockholm.
-
Kurejeshwa kwa uhusiano kati ya Iran na Misri kunahitaji uamuzi wa kijasiri na wa kihistoria wa viongozi wa Cairo
Jul 22, 2023 00:14Katika siku za hivi karibuni, kufuatia kurejeshwa kwa uhusiano kati ya Iran na Saudi Arabia, habari zimesikika kuwa urejeshaji uhusiano na Iran utazijumuisha nchi zingine, Misri ikiwemo.
-
Wamarekani weusi, wahanga wa kwanza wa ubaguzi katika ajira
Jul 20, 2023 23:05Takwimu za hivi karibuni nchini Marekani zinaonyesha kuwa, watu weusi wanaunda asilimia 90 ya wafanyakazi walioachishwa kazi mwaka huu kutokana na kuongezeka kwa hofu ya mdororo wa kiuchumi na sera ya makampuni mengi ya kupunguza wafanyakazi.