-
Kuzidi kutengwa Israel sambamba na kuundwa mhimili wa Tehran-Riyadh
Jun 19, 2023 23:44Faisal bin Farhan, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa saudi Arabia alisema hivi karibuni katika mazungumzo yake na Rais Rais Ibrahim Rais wa Iran kwamba: Baadhi ya nchi duniani hazitaki kuona eneo letu linapata amani na maendeleo.
-
Safari ya kwanza ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani nchini China baada ya miaka mitano
Jun 19, 2023 09:41Anthony Blinken Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani Jumapili ya jana tarehe 18 Juni aliwasili Beijing mji mkuu wa China, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupunguza mvutano unaoongezeka kati ya nchi mbili hizo ambao umezitia wasiwasi nchi nyingi.
-
Safari ya kwanza ya ndege kutoka Sana'a hadi Saudi Arabia baada ya miaka 7; hatua nyingine ya kumaliza mgogoro wa Yemen
Jun 18, 2023 22:43Safari ya kwanza ya ndege ya Yemen iliyobeba mahujaji Jumamosi iliyopita iliondoka kwenye uwanja wa ndege wa Sana'a kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Abdulaziz katika mji wa Jeddah ikiwa ni mara ya kwanza baada ya kipindi cha miaka saba. Ndege hiyo ilikuwa imebeba mahujaji 275.
-
Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia
Jun 18, 2023 06:56Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.
-
Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi
Jun 17, 2023 23:17Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.
-
Mwaka wa tisa wa kuasisiwa Hashd al Shaabi, sisitizo la viongozi wa Iraq la kuimarishwa harakati hiyo ya ukombozi
Jun 17, 2023 04:46Rais Abdul Latif Rashid wa Iraq pamoja na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mohammed Shayya’ Sabbar al-Sudani wametuma ujumbe mbalimbali kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tisa wa kuasisiwa harakati ya ukombozi ya wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la Hashd al Shaabi na wametilia mkazo wajibu wa kuimarishwa zaidi harakati hiyo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa
Jun 17, 2023 02:46Akizungumza karibuni na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na ujumbe aliofuatana nao, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni wa Israel inatofautiana sana na ya miaka sabini iliyopita na kusisitiza: Hii leo adui Mzayuni yuko katika hali ya kutojua la kufanya na hali hii inaonyesha kuwa Jihad Islami ya Palestina na makundi mengine ya mapambano yametambua vyema njia ya kufuata na yanasonga mbele kwa busara.
-
Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi
Jun 16, 2023 03:03Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.
-
Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India
Jun 15, 2023 22:58Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.
-
Ungamo la Amnesty International: Utawala wa Israel ulifanya jinai ya kivita dhidi ya watu wa Ghaza
Jun 15, 2023 09:10Ripoti iliyotolewa na Amnesty International imesema kuwa wanajeshi wa Israel walifanya uhalifu wa kivita dhidi ya Wapalestina katika mashambulizi yao dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza mwezi uliopita wa Mei, 2023.