-
Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi
Jun 14, 2023 22:53Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.
-
Safari ya Raisi nchini Nicaragua; Iran iko mbioni kuimarisha uhusiano na Amerika ya Kusini
Jun 14, 2023 08:33Baada ya kumaliza ziara yake rasmi nchini Venezuela, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo amewasili Managua ili kustawisha na kuimarisha uhusiano na Nicaragua. Safari hiyo inafanyiika kwa mwaliko rasmi wa Rais wa nchi hiyo, Daniel Ortega.
-
Mwendo wa kasi wa kuboreshwa uhusiano wa Saudi Arabia na Syria
Jun 13, 2023 23:07Faisal al-Miqdad Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Syria Jumapili iliyopita aliwasili Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yake, kuitikia mwaliko wa Faisal Bin Farhan, Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Saudi Arabia.
-
Kudhihirika zaidi kutokuwa na natija vikwazo vya Marekani ulimwenguni
Jun 13, 2023 07:45Mkutano wa kibiashara wa mataifa ya Kiarabu na China umefanyika katika mji mkuu wa Saudi Arabia Riyadh katika hali ambayo, Beijing inafanya juhudi za kuhakikisha kuwa inanyakua nafasi ya kwanza ya biashara katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kuendelea mgogoro wa Tunisia; kifungo cha maisha kwa Rashid al-Ghannouchi
Jun 12, 2023 22:47Baada ya kupita miezi miwili tangu atiwe mbaroni, Rashid al-Ghannouchi, Kiongozi wa Harakati ya al-Nahdha ya Tunisia, mahakama ya mwanzo wa mji wa Ariana imemhukumu mwanasiasa huyo mashuhuri kifungo cha maisha jela.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la umuhimu wa kimkakati wa sekta ya nyuklia
Jun 12, 2023 07:49Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sekta ya nyuklia ya Iran ni ufunguo wa maendeleo na ustawi wa nchi katika nyuga mbalimbali.
-
Iran, kimbilio la kwanza la wakimbizi wa Kiafghani katika miaka miwili ya karibuni
Jun 12, 2023 02:57Shirika la Kimataifa wa Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa kituo cha kwanza cha kuwapokea wakimbizi kutoka Afghanistan katika kipindi cha miaka miwili ya karibuni.
-
Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo
Jun 11, 2023 08:58Mgogoro wa kisiasa na vita vya kuwania madaraka vinaendelea kutokota nchini Sudan licha ya jitihada zote za kimataifa na kikanda zinazofanyika kwa ajili ya kurejesha amani nchini huko. Katika hatua ya karibuni, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imemfukuza Volker Perthes aliyekuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na kumtaja kuwa mtu asiyetakikana nchini humo.
-
Aal Saud wapinga maagizo ya kiimla ya Marekani kuhusu siasa zao za kigeni
Jun 11, 2023 00:55Vyanzo vya Marekani vimetangaza kuwa Saudi Arabia imekataa maombi ya Washington ya kuitaka ijitenge na China pamoja na Russia na kusisitiza juu ya kuendeleza siasa zake huru za kigeni.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yakiri kupungua umaarufu wa Fath; mapatano chanzo cha kupoteza itibari
Jun 10, 2023 01:24Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekiri kwamba siasa zake za mapatano na maadui wa taifa la Palestina zimepelekea kupungua umaarufu wa harakati ya Fath iliyobuniwa kwa lengo la kupigania uhuru wa taifa hilo.