-
Mpango wa mashirika 100 ya Kimarekani wa kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa utawala wa Israel
Jun 09, 2023 22:12Mashirika mia moja ya Kimarekani yameanzisha mpango uliopewa jina la "Jamii Zisizo na Ubaguzi wa Rangi" kwa lengo la kusitisha uungaji mkono wa nchi yao kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.
-
Mapitio ya kikao cha kwanza cha pande tatu cha Iran, China na Pakistan kwa ajili ya kukabiliana na ugaidi
Jun 09, 2023 08:07Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, China na Pakistan zimefanya mkutano mjini Beijing ikiwa ni wa kwanza wa mashauriano ya pande tatu katika uwanja wa usalama na kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
-
Ukatili wa Wazayuni katika kumuua shahidi mtoto wa Kipalestina na kimya cha wanaodai kutetea haki za binadamu
Jun 08, 2023 21:53Siku tano zimepita tangu Wazayuni watende jinai ya kumuua shahidi mtoto wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka mitatu. Siku tano zilizopita mwanajeshi mmoja wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan alimfyatulia risasi na kumjeruhi vibaya mtoto huyo wa Kipalestina kwa jina la Muhammad Hytham Tamimi.
-
Kuinusuru Uturuki na kuendelea ukoloni wa Umoja wa Ulaya
Jun 08, 2023 03:22Bunge la Ulaya limesema Rais Recep Tayyeb Erdogan wa Uturuki kupata fursa nyingine ya kuiongoza nchi hiyo ya Kiislamu kutakwamisha juhudi za kujiunga nchi hiyo na Umoja wa Ulaya.
-
Ufunguzi wa ubalozi wa Iran nchini Saudi Arabia; kushindwa kwingine kwa siasa za kikanda za Marekani
Jun 07, 2023 21:58Sambamba na kufufuliwa uhusiano wa kisiasa na kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Saudi Arabia, ubalozi wa Iran mjini Riyadh ulifunguliwa tena Jumanne, Juni 6 baada ya kufungwa kwa miaka saba.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda
Jun 07, 2023 06:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema Marekani inaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan kwa lengo la kuliyumbisha eneo.
-
Kombora la Hypersonic la Fattah; matunda ya kimapinduzi na uainishaji hatima katika vita vya kisasa
Jun 06, 2023 21:53Jumanane ya jana tarehe 6 Juni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilizindua kombora lake la kwanza la balistiki la Hypersonic lililopewa jina la 'Fattah'.
-
Kuongezeka idadi ya wahitaji wa misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan
Jun 06, 2023 08:40Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imetangaza katika taarifa yake kwamba, tathmini mpya inaonyesha kuwa, idadi ya watu wanaohitajia misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan imeongezeka.
-
Safari ya al-Miqdad nchini Iraq na kuimarishwa ushirikiano wa kiusalama, kisiasa na kiuchumi
Jun 05, 2023 22:01Faisal al-Miqdad, Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, amekutana na Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iraq Fuad Hussein katika safari aliyofanya mjini Baghdad, ambapo pande hizo zimesisitiza juu ya kupanuliwa uhusiano wa pande mbili hususan kuhusu usalama.
-
Sisitizo jingine la Kiongozi Muadhamu kuhusu haja ya kusimama imara dhidi ya maadui
Jun 05, 2023 03:20Akizungumza jana Jumapili katika maadhimisho ya mwaka wa 34 wa kukumbuka kifo cha Imam Khomeini (MA), Mwanzilishi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, yaliyofanyika kwa mahudhurio makubwa ya wananchi wa matabaka mbalimbali na viongozi wa mfumo wa Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mara nyingine tena amesisitiza udharura wa kusimama kidete kwa ajili ya kukabiliana na uadui wa kiistikbari.