-
Ushahidi mpya wa madai ya uwongo ya Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza
May 01, 2023 06:39Filamu ya video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii imemuonyesha mtoto mdogo wa Kiislamu akiondolewa kwa nguvu katika familia yake ya Kiislamu na maafisa wa "huduma za ulinzi wa watoto" wakisaidiwa na askari polisi wa Ujerumani. Maafisa wa Ujerumani wanadai kuwa wazazi wa mtoto huyo wamekuwa wakimfundisha kwamba mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja hayakubaliki katika Uislamu.
-
Maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi
Apr 30, 2023 22:18Jana, tarehe 10 Ordibehest, 1402 Hijria Shamsia, ilikuwa siku ya kumbukumbu ya kufukuzwa wakoloni wa Kireno katika maji ya Kusini mwa Iran hapo mwaka 1622, na inatambuliwa nchini Iran kuwa Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi.
-
Safari ya Rais wa Iraq mjini Tehran; msisitizo wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili
Apr 30, 2023 08:11Katika safari yake ya siku moja hapa mjini Tehran Rais wa Iraq ameongoza ujumbe wa nchi yake wakiwemo mawaziri wa kigeni, umeme, biashara na waziri wa vyanzo vya maji.
-
Ombi la upanuzi wa BRICS; jaribio la kukomesha utawala wa sarafu ya dola ya Marekani
Apr 30, 2023 00:04Nchi 19 za dunia zimeeleza nia yao ya kutaka kujiunga na kundi la BRICS, huku kundi hili, kama taasisi mpya ya kimataifa, likitaka kupanua ushirikiano wa kifedha na kiuchumi kati ya nchi wanachama. BRICS pia imetoa wito wa kufanyika mabadiliko ya miundo ya taasisi za kimataifa, hasa mabadilishano ya kifedha ya kimataifa, na kukabiliana na udhibiiti wa dola ya Marekani katika biashara ya kimataifa.
-
CPJ yakiri: Kuna mbinyo wa vyombo vya habari katika nchi za Umoja wa Ulaya
Apr 29, 2023 08:19Licha ya kuwepo madai na propaganda kubwa za nchi za Ulaya kuhusu uhuru wa vyombo vya habari na kwamba nchi hizo zinatetea uhuru wa kujieleza, lakini iripoti mbalimbali zinaendelea kuweka wazi mbinyo wa vyombo vya habari ndani ya nchi za umoja huo.
-
Kutolewa tena sisitizo na Taliban la kutimiza ahadi yake ya kuheshimu haki ya Iran katika maji ya Mto Helmand
Apr 28, 2023 22:19Naibu msemaji wa serikali ya muda ya Taliban amesema kupatikana haki ya Iran ya kutumia maji ya Mto Helmand ni moja ya vipaumbele vya kundi hilo, jambo ambalo halijatekelezwa licha ya ahadi zilizotolewa na maafisa wa Taliban katika kipindi cha karibu miaka miwili sasa.
-
Kuongezeka gharama za kijeshi za Ulaya baada ya Vita Baridi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa
Apr 28, 2023 09:21Matumizi ya kijeshi barani Ulaya katika mwaka ulipoita wa 2022 yalipita kiwango hata cha kipindi zilipomalizika enzi za Vita Baridi.
-
Kupanuka hitilafu katika Baraza la Usalama la UN na udharura wa kufanyika mageuzi
Apr 27, 2023 06:44Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa uenyekiti wa Sergei Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, na kuibua ukosoaji mkali wa nchi za Magharibi sambamba na kuzidisha hitilafu baina ya wanachama wa baraza hilo, kwa mara nyingine tena kimedhihirisha udharura wa kufanyika marekebisho katika muundo wa Baraza la Usalama la UN.
-
Kugombea kwa "Joe Biden" katika uchaguzi wa 2024 na changamoto zinazomkabili
Apr 27, 2023 06:22Hatimaye baada ya tetesi za muda mrefu, Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza rasmi kuwa atagombea katika uchaguzi wa rais wa 2024, na iwapo atashinda, atabaki katika Ikulu ya White House kwa miaka mingine minne.
-
Kuendelea chuki dhidi ya Uislamu zinazofanywa na serikali ya India
Apr 26, 2023 21:42Serikali ya India yenye misimamo ya kufurutu ada imefuta historia ya watawala wa Kiislamu katika vitabu vya masomo na kuzidi kuthibitisha kwamba, inafuatilia kwa nguvu zote siasa za kukabiliana na Waislamu pamoja na historia yao.