-
Upatanishi wa Wazayuni Sudan; kisingizio kingine cha kujipenyeza
Apr 26, 2023 07:28Katika hali ambayo mgogoro wa Sudan pamoja na vita vinaendelea kushuhudiwa, utawala haramu wa Israel umewaalika majerali mahasimu wa Sudan kwenda Tel Aviv kwa ajili ya upatanishi.
-
Kuendelea kudhoofika sarafu ya dola ya Marekani
Apr 25, 2023 22:13Mazungumzo baina ya Muungano wa Kiuchumi wa Eurasia (EAEU) na India yameanza kwa shabaha ya kuanzisha eneo huru la biashara. Maana ya hatua hiyo ni kuzidi kuporomoka nguvu za sarafu ya dola ya Marekani, duniani.
-
Onyo la Taiwan kuhusu madhara ya biashara iwapo kutatokea vita na China
Apr 25, 2023 06:41Serikali ya Taiwan imeonya kuhusu taathira mbaya ya kibiashara za asilimia 40 iwapo China itaamua kukishambulia kijeshi kisiwa cha Taiwan. Joseph Wu, Waziri wa Mambo ya Nje wa Taiwan amesema kuwa, kwa kuzingatia nafasi muhimu mno ya kijiografia ya Taiwan, iwapo China itakishambulia kijeshi kisiwa hicho, kutatokea madhara makubwa ya kiuchumi duniani.
-
Kuanza tena mashambulizi ya Wazayuni kwenye Msikiti wa Al-Aqsa baada ya Ramadhani
Apr 25, 2023 00:12Mivutano mipya inazuka katika Msikiti wa Al-Aqsa sambamba na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Ugunduzi wa makaburi 40 zaidi yasiyo na alama; ishara ya unyama dhidi ya wenyeji wa Canada.
Apr 24, 2023 09:47Watafiti wametangaza kwamba wamegundua makaburi 40 yasiyo na alama katika shule ya zamani ya Wamishonari wa Kikatoliki huko British Columbia, nchini Canada.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuporomoka utawala wa Kizayuni na ulazima wa umoja wa Umma wa Kiislamu
Apr 23, 2023 22:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja kadhia ya Palestina kuwa mojawapo ya masuala ya msingi katika Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Wasiwasi wa Israeli kuhusu matukio mapya ya kimkakati katika Asia Magharibi
Apr 23, 2023 13:03Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwapo matukio kadhaa ya kimkakati katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ambayo yameufanya utawala wa Kizayuni wa Israel uingiwe na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Mgombea urais wa chama tawala cha Democratic akiri: Marekani ndiyo iliyounda kundi la kigaidi la Daesh
Apr 22, 2023 22:03Robert F. Kennedy Jr ambaye ametangaza nia yake ya kugombea katika uchaguzi wa urais mwaka ujao nchini Marekani, amekiri kwamba nchi hiyo ndiyo iliyounda kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Sisitizo la Iran na Qatar la kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kuiunga mkono Palestina
Apr 22, 2023 05:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar kuwa kupanua na kuimarisha zaidi uhusiano na majirani ni kipaumbele cha sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan
Apr 21, 2023 22:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, ameionya Marekani kuhusu kuendelea kuiuzia Taiwan silaha.