-
Kura ya maoni; Misingi yake na jinsi inavyotumiwa vibaya
Apr 21, 2023 08:08Moja ya mada ambazo kwa kawaida huibuliwa na baadhi ya watu ndani ya nchi na vyombo vya habari vinavyoipinga Jamhuri ya Kiislamu nje ya nchi, wakati kunapoibuka matatizo katika nyanja za kisiasa na kiuchumi Iran, ni suala la kufanyika kura ya maoni.
-
Je, kuanguka ndege isiyo na rubani ya Israel nchini Syria kumetokana na sababu za kiufundi?
Apr 21, 2023 04:28Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuanguka kwa moja ya ndege zake zisizo na rubani wakati wa uvamizi wa anga ya Syria.
-
Uhuru katika hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Apr 20, 2023 07:12Kongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa uhuru na kusema kuwa uhuru una vipengee tofauti na unapaswa kuelekeza kwenye utukufu wa binadamu.
-
Elon Musk akiri: Serikali ya Marekani inadhibiti maudhui za mtandao wa Twitter
Apr 19, 2023 21:56Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter, Elon Musk, amekiri katika mahojiano yake na vyombo vya habari kwamba serikali ya Marekani inafika kamilifu" kwenye jumbe binafsi za moja kwa moja za watumiaji wa mtandao huo. Nukta ya kuvutia hapa ni kwamba awali Musk mwenyewe hakujua jambo hilo.
-
Kutiwa nguvuni Rached Ghannouchi kiongozi wa Chama cha Kiislamu cha Ennahdha cha Tunisia
Apr 19, 2023 07:53Chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia Jumatatu wiki hii kilitangaza kuwa askari usalama wamemtia mbaroni Rached Ghannouchi mkuu wa chama hicho baada ya kuivamia nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.
-
Zulia jekundu la Saudi Arabia chini ya miguu ya viongozi wa Kipalestina
Apr 18, 2023 22:00Ismail Hania na Khalid Mash'al, Mkuu wa sasa na wa zamani wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Jumapili ya tarehe 16 Aprili waliwasili Riyadh mji mkuu wa Saudi Arabia wakiuongoza ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kufeli sera za Marekani Asia Magharibi
Apr 18, 2023 09:17Tarehe 5 Aprili Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Hali ya sasa ya utawala wa Israel ni mfano wa kushindwa adui
Apr 17, 2023 21:58Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana makamanda na maafisa wakuu wa Majeshi ya Iran na kusema hali ya hivi sasa ya utawala wa Kizayuni wa Israel ni mfano wa kushindwa adui.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu nguvu ya makundi ya Palestina mkabala na Israel
Apr 17, 2023 02:31Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, hivi karibuni alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kwa kikao cha Jeddah, Syria yapiga hatua nyingine kurejea katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Apr 16, 2023 21:40Kikao cha mashauriano cha mataifa ya Kiarabu kimefanyika nchini Saudi Arabia kwa kuhudhuriwa na nchi tisa ambapo taarifa ya mwisho imesisitiza juu ya ulazima mchakato wa Syria kurejea katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.