-
Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan
Apr 16, 2023 09:53Nchini Sudan hali si shwari ambapo habari kutoka nchini humo zinaonyesha kuendelea mapigano kati ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka na kuzusha wasiwasi wa kutokea mapinduzi katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Wanaoikalia Quds kwa mabavu wanakaribia kuanguka
Apr 15, 2023 22:13Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ujumbe wa maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ni kutangaza mshikamano na Umma wa Kiislamu na kwamba jitihada zinazofanywa na tawala za Kiarabu za kuhuisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel hazitadhamini usalama wa utawala huo.
-
Safari ya Faisal al Miqdad huko Jeddah; mabadiliko katika sera za nje za Saudi Arabia
Apr 15, 2023 04:25Faisal al Miqdad Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amefanya ziara nchini Saudi Arabia kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Saudi Arabia Faisal bin farhan.
-
Kikao cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan
Apr 14, 2023 23:11Kikao cha nne cha nchi jirani na Afghanistan kilifanyika Alkhamisi ya juzi katika mji wa Samarkand nchini Uzbekistan.
-
Kufunguliwa mlango wa ubalozi wa Iran mjini Riyadh; hatua mpya ya kutekelezwa makubaliano ya Iran na Saudi Arabia
Apr 14, 2023 10:59Milango ya jengo la ubalozi wa Iran mjini Riyadh iliyokuwa imefungwa kwa takribani miaka saba kufuatia kukatwa uhusiano wa nchi mbili, siku ya Jumatano ilifunguuliwa tena na kuashiria azma thabiti ya mataifa haya mawili ya Kiislamu ya kuhuisha tena uhusiano wao wa kidiplomasia.
-
Kuendelea utunishaji misuli na ubabe wa China mbele ya Marekani
Apr 13, 2023 22:43Ijapokuwa China ilitangaza hivi majuzi kuwa mazoezi yake ya kijeshi ya pande zote iliyofanya kwa mfananisho wa kukizingira kisiwa cha Taiwan yamemalizika, lakini televisheni ya taifa ya nchi hiyo ilitangaza kuwa, manowari kadhaa za Beijing zitaendelea kutoa mafunzo yanayohitajika kuendana na uhalisia wa hali ya vita katika maji yanayoizunguka Taiwan ili kupima uwezo wake katika ngazi zote na ufanisi wa silaha na zana zake za kivita.
-
Ramani ya Utaratibu Mpya wa Ulimwengu; Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kudhoofika sarafu ya dola
Apr 13, 2023 08:49Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 4 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika mkutano na viongozi na maafisa watendaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Sisitizo la kuimarishwa BRICS kwa kupanuliwa muundo wa usalama
Apr 12, 2023 23:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amehutubia kikao cha mabalozi wa nchi za jumuiya ya BRICS zinazojumuisha Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini mjini Moscow, akisisitiza haja ya kuwepo juhudi za pamoja za kukabiliana na vitendo vya uharibifu vya nchi za Magharibi ambazo lengo lao ni kuharibu muundo wa usalama.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; Rai ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kusambaratika utawala wa Kizayuni
Apr 12, 2023 10:18Akizungumzia migogoro ya ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha sikukuu ya Nowruz cha maafisa wa Jamahuri ya Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alisema: "Tulisema kwamba utawala wa Kizayuni hautaona miaka 25 mingine, wao wenyewe wana haraka na wanataka kuondoka mapema na wanaendelea kusema kwamba kusambaratika kwa Israel kumekaribia na hatutafikisha umri wa miaka 80."
-
Azma ya Pakistan ya kuanzisha operesheni dhidi ya makundi ya kigaidi
Apr 11, 2023 22:35Baraza la Usalama wa Taifa la Pakistan chini ya uongozi wa Muhammad Shehbaz Sharif, Waziri Mkuu wa nchi hiyo limepasisha uamuzi wa kuendesha operesheni mpya dhidi ya ugaidi.