-
Kuingiwa na kiwewe Wazayuni kutokana na kukutana viongozi wa Hizbullah na HAMAS
Apr 11, 2023 06:43Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekutana na kufanya mazungumzo na Ismail Hania, Sheikh Saleh al-Arouri, Mkuu na Naibu wa Ofisi ya Kiisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa utaratibu pamoja na ujumbe uliofuatana nao.
-
Kuendelea maandamano makubwa ya Waturuki walio kwenye Saumu ya kupinga utawala haramu wa Israel
Apr 10, 2023 22:45Maandamano ya watu walio kwenye Saumu nchini Uturuki ya kupinga jinai za Wazayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu yangali yanaendelea, ambapo siku ya Jumapili pia watu wa miji tofauti ya Uturuki walifanya maandamano ya kulaani jinai za utawala dhalimu wa Israel.
-
Safari ya ujumbe wa Saudia Sana'a; dalili ya kuwepo nia ya dhati ya kuhitimisha vita vya Yemen
Apr 10, 2023 04:47Siku ya Jumamosi tarehe 8 Aprili, ujumbe wa Saudi Arabia uliwasili Sana'a mji mkuu wa Yemen, ambako ulikutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen.
-
Juhudi za nchi za Kiafrika za kukabiliana na ukiritimba wa nchi za Ulaya
Apr 09, 2023 23:02Baada ya Mali na Burkina Faso kuwafukuza mabalozi wa Ufaransa, majuzi Chad ilimpa balozi wa Ujerumani muda wa masaa 48 kuwa ameondoka nchini humo.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu", msisitizo wa Kiongozi Muadhamu juu ya jinsi Marekani inavyofaidika na vita vya Ukraine
Apr 09, 2023 10:51Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 15 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan
Apr 08, 2023 22:44Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.
-
Sisitizo la Iran kuhusu ulazima wa kuwepo umoja wa Umma wa Kiislamu ili kukabiliana na jinai za Israel
Apr 08, 2023 06:39Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kuunga mkono haki za watu wa Palestina na kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni kanuni isiyobadilika katika muundo wa Umma wa Kiislamu.
-
Msimamo wa Umoja wa Mataifa kwa marufuku waliyowekewa wanawake wa Afghanistan wasihudumu katika ofisi za umoja huo
Apr 07, 2023 23:30Umoja wa Mataifa umefunga ofisi zake zote nchini Afghanistan masaa 48 baada ya serikali ya Taliban kuwapiga marufuku wanawake kufanya kazi katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mkoani Nangarhar.
-
Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine
Apr 07, 2023 04:49Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa siku ya Jumatano aliwasili Beijing kwa ziara ya siku tatu nchini China. Ziara hiyo ni ya kwanza kufanywa na Macron nchini China tangu mwaka 2019. Rais huyo wa Ufaransa jana alifanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Xi Jinping.
-
Kuongezwa kiwango cha uhusiano wa Tunisia na Syria; kutoka uwakilishi hadi balozi kamili
Apr 06, 2023 22:50Syria imepongeza uamuzi wa Rais Kais Saied wa Tunisia wa kuongeza kiwango cha uhusiano na ushirikiano wa kidiplomasia katika ubalozi wa nchi hiyo mjini Damascus Syria.