-
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena lataka mtazamo wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu kuhusu Palestina
Jan 01, 2023 23:04Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kwa kupitisha azimio, limetaka maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu namna utawala ghasibu wa Israel unavyokiuka haki ya Wapalestina ya kujitawala na kujiainishia hatima na utawala wao.
-
Mazoezi ya Kijeshi ya Zulfiqar; Dhihiriso la Nguvu za Kujihami za Iran + VIDEO
Jan 01, 2023 06:46Kwa mujibu wa desturi ya kila mwaka ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mazoezi ya pamoja ya Zulfiqar yamefanyika kusini mashariki na katika pwani ya Makran.
-
Mapitio katika uhusiano wa Iran na Oman; majirani wawili wenye maslahi na mambo mengi ya pamoja
Dec 31, 2022 22:56Kati ya mataifa ya Kiarabu ya Ukanda wa Ghuba ya Uajemi, Oman ni moja ya mataifa ambayo daima yamekuwa na uhusiano thabiti na wa kirafiki na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Sisitizo la Putin la kuimarisha ushirikiano wa kijeshi kati ya Russia na China kwa ajili ya kukabiliana na mashinikizo ya kijiopolitiki
Dec 31, 2022 07:50Rais Vladimir Putin wa Russia jana Ijumaa aliwasiliana kwa njia ya video na Rais Xi Jinping wa China na kuashiria mapambano ya Beijing na Moscow mkabala wa mashinikizo ya kijiopolitiki na kueleza kuwa ushirikiano wa nchi mbili unasaidia kuwepo mfumo wa kiadilifu duniani.
-
Kuanza kazi baraza la mawaziri la sita la Netanyahu katika mazingira ya mivutano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Dec 30, 2022 22:41Benjamini Netanyahu amepata kura ya kuwa na imani naye kwenye Knesset, bunge la utawala haramu wa Israel, na hivyo kupata fursa nyingine ya kuongoza baraza la mawaziri la utawala huo.
-
Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani yaushtaki Umoja wa Ulaya; kuongezeka hitilafu kati ya pande mbili.
Dec 30, 2022 05:26Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani Exxon, ikiwa ni moja ya wauzaji wakubwa wa mafuta katika bara Ulaya, imushtaki Umoja wa Ulaya kwa kuyatoza makampuni ya mafuta ushuru mpya unaojulikana kama "kodi ya malipo kwa mapatano yanayopatikana bila kutoa jasho."
-
Mgomo mkubwa Tunisia; jibu la kutotekeleza ahadi Rais Kais Saied
Dec 29, 2022 23:03Muungano Sekta ya Usafiri na Uchukuzi wenye mfungamano na Muungano Mkubwa wa Wafanyakazi nchini Tunisia (UGTT) umetangaza mkakati wake wa kufanya mgomo wa siku mbili Januari 25 na 26 mwaka 2023.
-
Kuweko utumwa mamboleo nchini Saudi Arabia
Dec 29, 2022 09:47Gazeti la Times la Uingereza limeripoti kuwa, utumwa mamboleo ungalipo nchini Saudi Arabia licha ya maonyo ya asasi na jumuiya za kimataifa.
-
Jibu kali la Moscow kwa tishio la Marekani la kumuua Putin
Dec 28, 2022 22:54Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa matamshi ya maafisa wa Marekani katika Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo Pentagon, kuhusu pigo la kukata kichwa cha Kremlin kwa hakika ni tishio la kutaka kumuua kigaidi Rais wa Russia.
-
Bunge la Oman: Kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ni uhalifu
Dec 28, 2022 05:08Baraza la Ushauri la Oman limeikabidhi Kamati wa Kutunga Sheria na Kulinda Haki ya nchi hiyo; muswada wa marekebisho ya kifungu cha 10 cha sheria ya kuharamisha na kupiga marufuku kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili upasishwe rasmi.