-
Kuendelea mgogoro wa Sudan; kuongezeka uingiliaji wa kigeni na malalamiko ya wananchi
Nov 09, 2022 21:53Mgogoro wa Sudan umezidi kupanuka na kuchukua wigo mpana huku maandamano ya wananchi yakiendelea kushuhudiwa kila leo katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Sisitizo jingine la Marekani la kuunga mkono vurugu na machafuko nchini Iran
Nov 09, 2022 05:12Ned Price, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ameendelea kuunga mkono vurugu na machafuko nchini Iran na kukana kabisa kuhusika nchi yake katika vurugu hizo.
-
Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan baada ya uchaguzi wa Israel na ushindi wa vyama vya mrengo wa kulia
Nov 08, 2022 23:17Usiku wa kuamkia Jumatatu vikosi vya utawala vamizi wa Israel vilishambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu na kuwatia mbaroni vijana 20 wa Kipalestina.
-
Kulaaniwa hujuma za kigaidi nchini Iran; ulazima wa kukabiliana na Daesh na tawala za kihalifu
Nov 08, 2022 08:54Jumuiya ya Kimataifa ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi imetoa taarifa inayolaani hujuma za kigaidi za hivi karibuni dhidi ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kukaribia kumalizika muhula wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan
Nov 07, 2022 22:57Msemaji wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amesema kipindi cha uongozi wa serikali hiyo kitamalizika baada ya muda si mrefu ujao.
-
Msururu wa hukumu za vifo na kunyonga watu kwa halaiki; rekodi ya jinai aliyojiwekea Bin Salman
Nov 07, 2022 05:40Shirika la Haki za Kibinadamu la Saudi Arabia lenye makao yake Ulaya limefichua kuwa viongozi wa utawala wa Riyadh wametoa hukumu ya kifo kwa wafungwa 15 walioshtakiwa kwa masuala ya kiitikadi, na kwamba kwa kutolewa hukumu hizo, idadi ya watu walio hatarini kunyongwa nchini humo imefika 53, wanane miongoni mwao wakiwa ni vijana chipukizi na watoto wadogo.
-
Safari ya Papa na mchezo mpya wa Al Khalifa; Uvumilivu kwa wasio Waislamu na ukatili dhidi ya Waislamu wa Bahrain
Nov 06, 2022 22:45Safari ya Kiongozi wa Kanisa katoliki Duniani, Papa Francis, nchini Bahrain kwa ajili eti ya kushiriki katika mkutano wa "Amani na Kuishi Pamoja" imefanyika katika hali ambayo hakushuhudiwi amani wala kuishi pamoja kwa usalama nchini Bahrain.
-
Jaribio la mauaji dhidi ya Imran Khan na kuibuka mivutano katika miji mbalimbali ya Pakistan
Nov 06, 2022 06:46Maandamano ya upinzani yameshuhudiwa katika miji kadhaa ya Pakistan baada ya jaribio lililofeli la kutaka kumuua Imran Khan Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.
-
Pongezi za Abdulllah Abdullah kwa uungaji mkono na misaada ya Iran kwa Afghanistan
Nov 06, 2022 03:26Mkuu wa zamani wa Baraza Kuu la Maslahi ya Taifa la Afghanistan amepongeza na kushukuru misaada na uungaji mkono wa serikali na wananchi wa Iran kwa Afghanistan khususan kwa kuwasaidia wakimbizi wa nchi hiyo.
-
Jibu la Rais wa Iran kwa bwabwaja na njozi za Biden
Nov 05, 2022 07:57Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika marasimu ya kukumbuka tarehe 13 Aban ambayo inaadhimishwa hapa nchini kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari Duniani kwamba: Marekani ina nafasi ya kwanza katika vita na umwagaji damu na inaangamiza na kuharibu maslahi ya mataifa mengine ili kujidhaminia maslahi yake. Rais wa Iran ameeleza hayo katika radiamali yake kwa matamshi ya Joe Biden ya kuuunga mkono ghasia na fujo nchini Iran.