-
Apartheid (ubaguzi) ya nyuklia ya Magharibi kuhusu Iran na utawala haramu wa Israel
Jun 12, 2022 22:42Utafiti linganishi wa utendaji wa jamii ya kimataifa, na hasa wa nchi za Magharibi, kuhusiana na shughuli za nyuklia za Iran na utawala haramu wa Israel, unaonyesha dhihirisho jingine la ubaguzi wa nyuklia unaofanywa na nchi hizo dhidi ya mataifa mengine na hasa yale yaliyo na sera huru duniani.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuwa mapambano ndio njia pekee ya kufikia ushindi dhidi ya Marekani
Jun 12, 2022 04:33Akizungumza jana Jumamosi alasiri katika kikao na Rais Nicolas Maduro wa Venezuela na ujumbe alioandamana nao, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kusimama imara Iran na Venezuela mbele ya mashinikizo makali na vita vya pande kadhaa vya Marekani na kusisitiza: Uzoefu wa mafanikio wa nchi mbili unaonyesha kwamba njia pekee ya kukabiliana na mashinikizo hayo ni mapambano na kusimamam imara.
-
Kuendelea vitendo visivyo vya kibinadamu vya madola ya Ulaya dhidi ya wahajiri
Jun 11, 2022 22:03Baada ya serikali ya Uingereza kuchukua uamuzi wa kuwahamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini Uingereza, sasa mahakama ya nchi hiyo nayo imeunga mkono na kuidhinisha uamuzi huo.
-
Hatua ya Israel kupora nishati ya Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah
Jun 11, 2022 05:44Sayyid Hassan Nasrallah, ametoa hutuba kuhusu hatua ya utawala wa Kizayuni ya kupora utajiri wa nishati ya Lebanon ambapo amebainisha nukta kadhaa kuhusu kadhia hiyo.
-
Russia yaonya kuhusu uwezekano wa makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi na kambi ya Magharibi
Jun 10, 2022 21:53Russia imezionya nchi za Magharibi kuwa hujuma ya kiintaneti dhidi ya miundomsingi yake ni jambo ambalo litaibua hatari ya kutokea makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi. Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa taarifa na kusema kuwa, miundomsingi ya kijeshi na ya baadhi ya taasisi za kiserikali nchini humo imekumbwa na hujuma ya kiintaneti ambayo imetekelezwa na makundi ya wadukuzi wa Marekani na Ukraine.
-
Safari ya pili ya Bennet nchini Imarati katika kipindi cha miezi sita
Jun 10, 2022 05:47Naftali Bennet, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Alhamisi Juni 10 aliwasili katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati au UAE) hii ikiwa ni safari yake ya pili nchini humo katika kipndi cha miezi sita.
-
Sisitizo la Waziri Mkuu wa India la kupanuliwa ushirikiano wa New Delhi na Tehran
Jun 09, 2022 18:49Narendra Modi, Waziri Mkuu wa India amesisitiza juu ya udharura wa kustawishwa zaidi na kadiri inavyowezekana uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Nasaha za Kiongozi Muadhamu kuhusu Umoja wa Waislamu na kujiepusha kuwa na uhusiano na Israel
Jun 09, 2022 07:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kubainisha kuwa, Wazayuni ndio janga la haraka la ulimwengu wa Kiislamu amebainisha kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel unazitumia vibaya tawala ambazo zimechukua mkondo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Tel Aviv.
-
Masumbwi ndani ya bunge la Israel, moto wa mgogoro warindima ndani ya Knesset
Jun 08, 2022 21:50Masumbwi yaliliteka bunge la utawala wa Kizayuni lijulikanalo kwa jina la Knesset Jumanne asubuhi na kuzidi kuthibitisha jinsi serikali ya Naftali Bennett ilivyo tete baada ya wafuasi na wapinzani wa serikali hiyo kutwangana makonde bungeni.
-
Msimamo hafifu na dhaifu wa Mkuu wa IAEA kuhusu hujuma zilizofanywa kwenye vituo vya nyuklia vya Iran
Jun 08, 2022 07:18Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA jana Jumanne alifanyiwa mahojiano makao makuu ya wakala huo mjini Vienna; na moja ya masuali aliyoulizwa ni kuhusu takwa la Iran la kumtaka alaani hujuma zilizofanywa dhidi ya vituo vyake vya nyuklia.