-
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan mbioni kustawisha uhusiano mwema na majirani
Jun 07, 2022 21:51Amir Khan Motaqi, Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan amesema kuwa, njia za mpakani za nchi hiyo ziko wazi kwa ajili ya majirani na kwamba, serikali ya Taliban ina uhusiano mwema na mzuri na majirani zake.
-
Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW
Jun 07, 2022 06:18Matamshi ya utovu wa adabu ya viongozi wawili wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata (BJP) dhidi ya Bwana Mtume (SAW) yamekabiliwa na wimbi la malalamiko ya mataifa ya Kiislamu na Waislamu kwa ujumla ulimwenguni.
-
Muhammad bin Salman; Ufalme wa Saudi Arabia katika njia ya kuwekwa wazi uhusiano na Israeli
Jun 06, 2022 21:59Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimetangaza kuwa Saudi Arabia imekubaliana na utawala huo ghasibu kufungua anga yake kwa ajili ya kutumiwa na ndege za Kizayuni.
-
Sisitizo la Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran kuhusu kushirikiana nchi za Kiislamu kwa ajili ya kuimarisha uchumi.
Jun 06, 2022 05:38Akizungumza Jumamosi katika kikao cha kila mwaka cha Baraza Kuu la Benki ya Maendeleo ya Kiislamu IDB huKo mjini Cairo Misri, Ehsan Khandouzi, Waziri wa Masuala ya Kiuchumi na Fedha wa Iran, amesisitiza juu ya ulazima wa nchi za Kiislamu kushirikiana kwa ajili ya kuimarisha uthabiti wa kiuchumi wa nchi hizo na kuufanya kuwa na misingi madhubuti zaidi katika kukabiliana na changamoto zilizopo na za baadaye.
-
Bennett aonya juu ya kusambaratika kwa ndani Israeli na kukaririwa historia ya kuporomoka serikali ya Kiyahudi
Jun 05, 2022 23:25Waziri Mkuu wa Israel ameonya juu ya kusambaratika kwa ndani utawala huo wa kibaguzi na kujirudia historia ya kuporomoka utawala wa Kiyahudi.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamui; Jamhuri ya Kiislamu inapinga dhulma na kiburi na inakubaliana na umaanawi
Jun 05, 2022 05:18Akizungumza hapo jana Jumamosi katika maadhimisho ya mwaka wa 33 wa kuaga dunia Imam Khomeini (MA), mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema mapinduzi hayo yaliyoongozwa na Imam Khomeini ndiyo mapinduzi makubwa zaidi katika historia ya mapinduzi mengine yote duniani.
-
Sisitizo la Katibu Mkuu wa NATO kuhusu kujiandaa Magharibi kwa vita vya muda mrefu Ukraine
Jun 04, 2022 22:08Katibu Mkuu wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, Jens Stoltenberg, baada ya kuonana na rais wa Marekani, Joe Biden ili kujua msimamo wa Washington kuhusu vita vya Ukraine amedai kwamba nchi za Magharibi zinapaswa kujiandaa kwa vita vya muda mrefu huko Ukraine.
-
Fikra za Imam Khomeini (MA); ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuanza mwamko wa Kiislamu
Jun 04, 2022 04:35Fikra za Imam Khomeini MA za kupambana na ubeberu, mbali na kupelekea kupata ushindi Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, zimepelekea pia kupatikana mwamko wa Kiislamu katika eneo hili zima na duniani kwa ujumla.
-
Onyo la Iran kuhusu hatua zisizo sahihi katika Bodi ya Magavana wa IAEA
Jun 03, 2022 23:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: “Mpango wa Nyuklia wa Iran ni wa amani kikamilifu na hivyo hatua yoyote isiyo sahihi itakayochukuliwa na Bodi ya Magavana ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) itakabiliwa na jibu muafaka la Iran.”
-
Tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran: Saudia haitaki uhusiano mwema wa Iran na nchi za Ghuba ya Uajemi
Jun 03, 2022 02:50Mawaziri wa Nchi wa Masuala ya Kigeni wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi mnamo Juni Mosi kwa mara nyingine walitoa tuhuma nne dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.