-
Baqaei: Iran haiwezi kuiamini Marekani baada ya kushambulia vituo vyake vya nyuklia
Aug 05, 2025 11:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa nchi hii haiiamini Marekani khasa baada ya mashambulizi yake yasiyo na msingi katika vituo vya nyuklia vya Iran vinavyoendesha shughuli zake kwa malengo ya amani.
-
Iran: Nchi jirani zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa kizayuni wa Israel
Aug 04, 2025 23:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini aliyonayo ya kukamilika mkataba wa amani kati ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia lakini amezitaka pia nchi majirani wa Iran zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini safari ya Rais Pezeshkian nchini Pakistan ni mabadiliko katika diplomasia ya kikanda?
Aug 04, 2025 09:50Sambamba na matukio ya kijiopolitiki ya kikanda, ziara ya Rais Masoud Pezeshkian wa Iran nchini Pakistan si tu ya kidiplomasia, bali pia ni hatua ya kimkakati ya kufafanua upya nafasi ya Iran katika milingano na mahesabu ya kieneo.
-
Araqchi: Waandishi wa habari walisimama kidete wakati wa vita vya siku 12
Aug 04, 2025 07:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza kuwadia Siku ya "Waandishi wa habari" na amewakumbuka na kuwaenzi waandishi wa habari waliouliwa shahidi khususan katika vita vya kulazimishwa vya hivi karibuni.
-
Pezeshkian: Ukurasa mpya umefunguliwa katika uhusiano wa kidiplomasia kati ya Iran na Pakistan
Aug 04, 2025 04:10Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria ziara yake nchini Pakistan na mazungumzo aliyofanya na viongozi wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa: Ukurasa mpya umefunguliwa katika uhusiano wa kidiplomasia kati ya Iran na Pakistan.
-
Iran yaalani hatua mpya za Wazayuni wenye misimamo ya mikali za kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa
Aug 04, 2025 04:09Esmaeil Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali kitendo cha Wazayuni wenye misimamo mikali cha kuuvunjia heshima kwa mara nyingine tena Msikiti wa Al-Aqsa wakiongozwa na waziri mtenda jinai wa utawala huo ghasibu Itamar Ben-Gvir ambaye ni Waziri wa Usalama wa Ndani wa Israel.
-
Iran yasisitiza kuwekewa vikwazo vya silaha na kuadhibiwa utawala mtenda jinai
Aug 03, 2025 23:28Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa, jamii ya kimataifa inapaswa kuacha kutoa kauli tupu na badala yake kuchukua hatua za kivitendo ili kuwapa nafuu watu wa Gaza na kukomesha mauaji ya kimbari.
-
Miji minne ya Iran yaingia katika orodha ya maeneo 10 yenye joto kali zaidi duniani
Aug 03, 2025 23:01Miji minne ya Iran inaripotiwa kuingia katika orodha ya maeneo 10 yenye joto kali zaidi duniani.
-
Rais Pezeshkian Aishukuru Pakistan kwa kuiunga mkono Iran katika hujuma za utawala wa Kizayuni
Aug 03, 2025 11:05Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameshukuru uungaji mkono wa serikali na wananchi wa Pakistan dhidi ya hujuma za utawala wa Kizayuni na Marekani dhidi ya taifa hili na kusisitiza umuhimu wa uhusiano wa kihistoria na kiutamaduni kati ya nchi hizo mbili.
-
Spika Qalibaf: Iran haiombi usalama wake kutoka kwa mtu yeyote
Aug 03, 2025 11:04Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: "Iran haitaomba usalama wake kutoka kwa mtu yeyote hadi pale makosa ya kimahesabu ya maadui wa Iran yatakaporekebishwa.