-
Hifadhi ya makombora ya Marekani yaathiriwa pakubwa na vita vya Iran
Sep 09, 2026 11:05Vita na Iran vimepunguza pakubwa akiba ya makombora ya Marekani na kuibua vizuizi katika uzalishaji katika sekta ya ulinzi huku Washington ikilazimika Washington kupima uwezo wake wa kuhuisha upya akiba ya makombora ili kuwa tayari kukabiliana na migogoro mingine.
-
"Kutengwa Kiuchumi": Je, ni Onyesho la Nguvu au Dhihirisho la Mapungufu ya Marekani?
Sep 09, 2026 08:22Huku watawala wa Marekani wakiitishia Iran kuwa wataiwekea vikwazo vya kiuchumi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, CNN imeripoti kuwa utekelezaji wa tahadhari na wa hatua kwa hatua wa kampeni ya "kutengwa kiuchumi" hautakuwa na athari yoyote kwa Iran, taifa ambalo limestahimili aina mbalimbali za vikwazo kwa miaka hamsini.
-
Iran yapiga kambi na manuwari za Marekani kulipiza kisasi
Sep 09, 2026 03:15Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limesema kuwa Kikosi chake cha Anga kimepiga kwa makombora Kituo cha Anga cha al-Azraq cha Marekani huko Jordan na kusisitiza kuwa operesheni hiyo ni ya kulipiza kisasi uchokozi wa Marekani dhidi ya meli za mafuta za Iran.
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi: Iran inao uwezo kamili wa kuzishambulia manuwari za US zilizoweka mzingiro wa kiuchumi
Sep 09, 2026 03:13Iran imeitoa maanani kikamilifu kauli iliyotolewa na Marekani ya kudogosha uwezo wake wa kijeshi na kusisitiza kwamba vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vina teknolojia na utayari wa kuzilenga meli za kivita za Marekani zinazoshiriki katika mzingiro haramu wa majini uliowekwa dhidi ya taifa la Iran.
-
Jenerali Mohsen Rezaei: Marekani impokea ‘onyo la wazi’ kutoka kwa makombora mapya ya Iran
Sep 08, 2026 11:24Afisa mkuu wa usalama wa Iran amesema kuwa Marekani imepokea “onyo la wazi” kutokana na uwezo mpya wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu, baada ya Tehran kufanya majaribio ya kombora jipya la kupambana na meli za kivita karibu na meli ya kivita ya Marekani katika maji ya kikanda.
-
Araghchi: Nchi za Kiislamu ziwajibike kupinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala Iran
Sep 08, 2026 11:09Katika mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu Mpya wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amessitiza umuhimu wa nchi za Kiislamu kuwajibika ipasavyo kupinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya Iran na wakati huo huo kukabiliana na matumizi ya nguvu na hujuma za uvamizi.
-
Mafuta kwa Dola 40: Mgongano kati ya Ndoto ya Washington na Uhalisia wa Soko la Dunia
Sep 08, 2026 09:20Mohammad Bagher Ghalibaf, Spika wa Bunge la Iran, amemjibu kwa kejeli, katika mtandao wa X, Scott Bessent, Waziri wa Fedha wa Marekani anayeota kuwa bei ya mafuta itapungua hivi karibuni na kufikia dola 40.
-
Iran yazindua programu mpya ya kinga-virusi iliyotengenezwa nchini
Sep 08, 2026 04:39Sambamba na maonyesho ya kimataifa ya Iran ya ELECOMP 2026, ambayo ni maonyesho makubwa zaidi ya nchi kwa sekta za elektroniki, teknolojia za kompyuta, na biashara pepe (e-commerce), Iran imezindua programu yake ya pili ya kinga-virusi (antivirus) iliyotengenezwa nchini, ijulikanayo kama Ayyza. Programu hii hutumia akili mnemba (AI) na mbinu za kujifunza kwa mashine (machine learning) kutambua virusi vipya visivyojulikana na vitisho vya mtandaoni ambavyo havijatambulika awali.
-
Qalibaf aonya kuwa Iran italipiza kisasi kwa kushambulia rasilimali za nishati za Marekani
Sep 08, 2026 04:36Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali kwa Marekani kwamba shambulizi lolote dhidi ya rasilimali za mafuta na gesi za Iran litajibiwa kwa hatua sawa, akisisitiza kuwa makampuni na miundombinu ya nishati ya Marekani katika eneo hili iko katika hali sawa ya hatari.
-
Qalibaf aukejeli utabiri wa Waziri wa Hazina wa Marekani kuhusu bei ya mafuta
Sep 07, 2026 11:17Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amepuuzilia mbali utabiri wa Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, kwamba bei ya mafuta itashuka hadi dola 40 kwa pipa, akiutaja kuwa “ni mawazo na ndoto.”