-
Ripoti: Tathmini ya CIA yakiri hujuma za Marekani dhidi ya Iran zimeshindwa
Jul 23, 2026 02:53Tathmini mpya ya kiintelijensia ya Marekani imetoa pigo kubwa kwa propaganda za kivita za utawala wa Donald Trump, kwa kuhitimisha kwamba kuendelezwa kwa uchokozi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hakutaweza kufanikisha malengo yoyote yaliyotangazwa na Ikulu ya White House.
-
Minab yazika vipande 62 vya miili ya watoto 32 waliouawa katika mashambulizi ya Marekani Februari 28 shuleni
Jul 22, 2026 11:54Zaidi ya vipande 62 vya miili ya wanafunzi 32 waliouawa katika shambulio la anga la Marekani katika Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab kusini mwa Iran vimetambuliwa kupitia vipimo vya vinasaba (DNA) na kuzikwa, karibu miezi mitano baada ya mashambulizi yaliyoua wanafunzi na walimu wao wasiopungua 168.
-
Rais Pezeshkian: Katu hatutalegeza kamba kuhusu haki za taifa la Iran
Jul 22, 2026 09:52Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mazungumzo yaliyofanyika kati ya Iran na Marekani yalianzishwa kwa kuzingatia misingi ya heshima, maslahi ya taifa, busara na hadhi ya Iran.
-
Baqaei akosoa utovu wa shukrani wa Kuwait na hatua yake ya kuwapokea maadui wa Iran
Jul 22, 2026 09:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, ameikosoa serikali ya Kuwait kwa kile alichokiita kutokuwa na shukrani nchi hiyo na kuwakaribisha maadui wa Iran licha ya uhusiano wa ujirani uliopo kati ya nchi hizo.
-
Seneta wa Marekani afichua uongo wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran
Jul 22, 2026 06:20Seneta Mark Warner wa Marekani amekiri kwamba "hakuna tishio lolote linalokaribia" kutoka kwa Iran dhidi ya Marekani.
-
Araqchi: Mwenendo wa wanadiplomasia wa Ufaransa Tehran haukubaliki
Jul 22, 2026 03:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani mwenendo wa wanadiplomasia wawili wa Ufaransa mjini Tehran na kuutaja kuwa "usiokubalika," huku akiitaka Paris kuzuia kujirudia vitendo vinavyokwenda kinyume na taratibu za kidiplomasia.
-
Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani katika kushambulia miundombinu ya Iran?
Jul 19, 2026 13:45Kwa madai ya kushambuliwa meli kadhaa zinazopita kinyume cha sheria kusini mwa Lango-Bahari la Hormuz na kukiukwa Mkataba wa Islamabad, Rais Donald Trump wa Marekani aliamuru kuanzishwa tena mashambulizi ya kichokozi dhidi ya Iran kuanzia Julai 7, ambapo pia mzingiro wa majini dhidi ya Iran ulirejeshwa mnamo Julai 14.
-
Iran yaangamiza rada za jeshi la Marekani Magharibi mwa Asia, askari kadhaa wauawa
Jul 21, 2026 11:33Majeshi ya Iran yametekeleza operesheni za uharibifu mkubwa wa miundombinu kadhaa ya rada na mifumo ya mawasiliano ya kijeshi ya Marekani katika eneo hili sambamba na hujuma iliyofanya dhidi ya kambi tatu za Marekani nchini Kuwait, ikiwa ni hatua endelevu ya kulipiza kisasi dhidi ya ukiukaji unaofanywa na Marekani.
-
Iran yataka Baraza la Usalama la UN kulaani shambulizi la Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia cha Darkhovin
Jul 21, 2026 11:31Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani bila kusita shambulizi la kombora lililofanywa na Marekani dhidi ya Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Darkhovin, na kuthibitisha tena kuwa shambulizi lolote au tishio dhidi ya vituo vya nyuklia vya amani ni kinyume na sheria za kimataifa.
-
Shambulio la Iran dhidi ya Kituo cha Marekani huko Al-Tanf, Syria: Hatua Isiyo na Mfano Wake na Yenye Jumbe za Pande Kadhaa
Jul 21, 2026 06:35Kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad miezi 19 iliyopita, vikosi vya jeshi la Iran vimeshambulia kwa njia ya anga eneo lililo ndani ya ardhi ya Syria.