Iran
  • Tehran yakanusha madai ya Marekani, yasema Washington inajaribu kuficha uhalifu wake dhidi ya Wairani

    Tehran yakanusha madai ya Marekani, yasema Washington inajaribu kuficha uhalifu wake dhidi ya Wairani

    Jun 04, 2026 03:34

    Iran imepinga vikali tuhuma za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Tehran inataka kuwaua maafisa wa Marekani, ikiikosoa Washington kwa kujaribu kujionyesha kama mwathirika huku ikificha rekodi yake ya uhalifu wa kivita dhidi ya watu wa Iran.

  • Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano

    Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano

    Jun 04, 2026 03:08

    Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo au wakati wa mchakato wa kusitisha mapigano.

  • Vikosi vya jeshi la Iran: Adui amelazimishwa kukubali sheria mpya za Iran

    Vikosi vya jeshi la Iran: Adui amelazimishwa kukubali sheria mpya za Iran

    Jun 03, 2026 13:28

    Vikosi vya jeshi la Iran vimetangaza kuwa adui amelazimika kukubali sheria mpya zilizowekwa na Tehran kwenye uwanja wa vita, hasa kuhusu usimamizi na udhibiti makini wa Mlango-Bahari wa Hormuz, huku nchi hii ikiwa katika kumbukumbu ya kifo cha Imam Ruhullah Khomeini na mapambano ya 1963 dhidi ya utawala wa Shah.

  • Hormuz, vita na ukweli ambao Washington haikuwa na budi ila kuukubali

    Hormuz, vita na ukweli ambao Washington haikuwa na budi ila kuukubali

    Jun 03, 2026 07:08

    Katika hali ambayo sera ya "mashinikizo ya juu zaidi" na chaguo la kijeshi la Trump vilipaswa kuilazimisha Iran ilegeze msimamo na kurudi nyuma, lakini matukio ya karibuni yameonyesha kuwa Washington inatafuta njia ya kujiondoa kwa heshima katika mgogoro ambao imejianzishia yenyewe.

  • IRGC: Tumejiandaa vya kutosha kwa uchokozi wa aina zote wa adui

    IRGC: Tumejiandaa vya kutosha kwa uchokozi wa aina zote wa adui

    Jun 03, 2026 04:12

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vikosi vyake vimejiandaa vyema kuliko hapo awali na viko tayari kikamilifu kwa dharura yoyote ya siku zijazo, likisisitiza kwamba kurudi kwa adui kwenye uvamizi wa kijeshi kutakabiliwa na mbinu tofauti za kiutendaji.

  • Iran yazindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani Asia Magharibi

    Iran yazindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani Asia Magharibi

    Jun 03, 2026 04:09

    Iran imezindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani katika eneo la Asia Magharibi, ambacho kinachukua nafasi ya kituo cha zamani, kwa hospitali mpya yenye ghorofa 18, vitanda zaidi ya 610 na teknolojia ya kisasa ya matibabu.

  • Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz

    Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz

    Jun 03, 2026 03:01

    Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kwamba vikosi vyake vimetekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya meli ya adui, makao makuu ya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Bahrain, pamoja na kambi ya jeshi la anga ya Marekani katika eneo hilo, kufuatia vitendo viwili vya uchokozi wa Marekani vilivyolenga mali za Iran.

  • Mkuu wa Kikosi cha Quds cha IRGC aonya Bab al-Mandab itageuka kama Mlango wa Hormuz

    Mkuu wa Kikosi cha Quds cha IRGC aonya Bab al-Mandab itageuka kama Mlango wa Hormuz

    Jun 02, 2026 09:09

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmail Qa’ani, ameonya kuwa Mlango wa Bab al-Mandab unaweza kukabiliwa na vikwazo vya usafiri wa meli vinavyofanana na vya Mlango wa Hormuz iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea na uhalifu nchini Lebanon na Ukanda wa Gaza chini ya himaya ya Marekani.

  • Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran

    Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran

    Jun 02, 2026 09:12

    Utawala wa Israel umeachana na mpango wake wa kufanya mashambulizi makali ya ya kijeshi dhidi ya mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Haya yameelezwa siku ya Jumatatu na Rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia onyo kali kutoka kwa Iran kwamba haitavumilia wimbi jipya la uvamizi dhidi ya Beirut, hatua ambayo ingekiuka makubaliano ya kusitisha vita kati ya Iran na Marekani.