-
Qalibaf: Marekani inapaswa kujua kwamba enzi ya "majibu sawia" imekwisha
Sep 06, 2026 11:38Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa kabla ya kuchelewa, Wamarekani wanapasa kujua kwamba kanuni za mchezo zimebadilika na kuanzia sasa, uchokozi wowote dhidi ya maslahi na usalama wa Iran utajibiwa kwa hatua itakayokuwa "ya haraka zaidi, nzito zaidi na yenye kuumiza zaidi."
-
Admeri Sayyari: Uwezo wa Iran wa kuzuia mashambulizi umeongezeka pakubwa/ Taifa la Iran haliwezi kushindwa
Sep 06, 2026 11:36Naibu Mkuu wa Jeshi la Iran amesema kuwa uwezo wa Jamhuri ya Kislamu wa kuzuia mashambulizi dhidi umeimarika pakubwa.
-
Makombora ya Balistiki ya IRGC yalazimisha meli za Kivita za Marekani kutoroka
Sep 06, 2026 04:20Kikosi cha Anga za Juu cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimerusha makombora kadhaa ya balistiki kuelekea kwenye manowari mbili za Marekani ikiwemo ile yenye uwezo wa kubeba ndege za kivita na kuzilazimu kutoroka. Meli hizo za kivita zilikuwa zikishiriki katika mzingiro haramu wa baharini wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kuanzia Reuters hadi The New York Times: Ushahidi wa Kushambuliwa Sherehe ya Harusi huko Kuhestak kwa Silaha za Marekani
Sep 06, 2026 03:54Kitendo cha kikatili cha Marekani huko Kuhestak, Sirik, kusini mwa Iran, hakiwezi tena kufichwa nyuma ya simulizi kinzani zinazoenezwa kuhusu vita. Vyombo vya habari vya Magharibi, wataalamu, na wanasiasa sasa wanazungumzia hadharani ushahidi unaoonyesha kuwa silaha za Marekani zilitumika kushambulia moja kwa moja sherehe ya harusi, na kusababisha vifo na majeraha kwa raia waliokuwa wakishiriki sherehe hiyo.
-
Makamu wa Rais: Iran imezishinda njama za kijeshi, imejiweka tayari kwa vita vya kiuchumi
Sep 06, 2026 03:01Makamu wa Kwanza wa Rais Mohammad Reza Aref amesema Iran imezishinda njama za mtawalia za kijeshi, kiuchumi, kijamii na kisiasa zilizolenga kuipindua Jamhuri ya Kiislamu au kuifanya isalimu amri, na kwamba sasa inajiandaa kukabiliana na awamu mpya ya vita vya kiuchumi.
-
Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran ataka nchi za BRICS kuwashtaki wahalifu wa kivita
Sep 05, 2026 12:06Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran ametaka nchi wanachama wa BRICS kulaani kukiukwa mamlaka ya Iran na kuwasaka wahusika wa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu uliofanywa wakati wa vita vya Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Marekani Yakata Tamaa Kimkakati: Kuanzia Kushindwa Kijeshi hadi Vita vya Kiuchumi Dhidi ya Iran
Sep 05, 2026 07:03Katika onyesho jingine la ubabe na upuuzaji wa sheria za kimataifa, Scott Bessent, Waziri wa Fedha wa Marekani amezitishia nchi huru kuhusu ushirikiano wao na Iran, akisema kwamba hakuna mtu yeyote anayepaswa kuiunga mkono Tehran.
-
Jeshi la Iran lililenga ndege 370 za adui katika vita vya Marekani na Israel
Sep 05, 2026 03:16Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran kililenga zaidi ya ndege 370 za kivita za adui zikiwemo zenye rubani na zisizikuwa na rubani au droni wakati wa uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel.
-
China na Iran zaahidi kupanua ushirikiano wa kimkakati katika nyanja zote
Sep 05, 2026 03:02Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholam-Hossein Mohseni Ejei, amesisitiza tena “azma” ya Iran ya kupanua uhusiano na China, akisisitiza kuwa ushirikiano imara wa kisheria na kimahakama unaweza kuwa nguzo ya mahusiano mapana ya kimkakati kati ya nchi hizo mbili.
-
Sayyid Khatami: Vita vya leo dhidi ya Iran ni vita mseto
Sep 04, 2026 10:54Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, hivi sasa Iran inakabiliwa na vita mseto kutoka kwa adui na kwamba hata vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Waislamu vilianza tangu enzi za Mtume Muhammad SAW mwanzoni mwa Uislamu.