-
Rais wa Zimbabwe: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi wa rais
Jan 24, 2018 11:09Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameahidi kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wa urais kabla ya Julai mwaka huu na kwamba ataheshimu uamuzi wa wananchi.
-
Rais wa Nigeria asema hajui kama atagombea muhula wa pili
Jan 18, 2018 11:00Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema hajui iwapo atagombea muhula wa pili wa uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao 2019 au la.
-
Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu
Jan 11, 2018 00:29Umoja wa Mataifa umesema uko tayari kuisaidia Libya katika maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2018.
-
Ra'ad al Hussein hatagombea tena ukamishna wa haki za binadamu UN, sababu ni Marekani
Jan 11, 2018 00:28Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Zeid Ra’ad al-Hussein amejiengua katika kinyang'anyiro cha kugombea tena kiti hicho akilalamikia ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na Marekani.
-
EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho
Jan 10, 2018 12:43Mkuu wa timu ya waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti na Oktoba mwaka uliomalizika 2017 nchini Kenya amesema kampeni zilizotangulia zoezi hilo ziligubikwa na rushwa, utumiaji wa mali za umma na vitisho.
-
Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi
Jan 06, 2018 04:44Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amewataka wananchi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutoshiriki uchaguzi mkuu ujao, na badala yake waunge mkono jitihada zake za kutamatisha utawala wa Rais Yoweri Kaguta Museveni.
-
Waliberia washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo
Dec 26, 2017 04:04Wananchi wa Liberia wameelekea katika masanduku ya kupigia kura asubuhi ya leo kushiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais.
-
Liberia yatangaza tarehe ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais
Dec 13, 2017 11:43Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Liberia imetangaza Disemba 26 kuwa tarehe ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais.
-
Uchunguzi wa maoni: Asilimia 85 ya Waganda 'hawamtaki' Museveni
Dec 10, 2017 03:44Uchunguzi wa maoni umeonyesha kuwa asilimia 85 ya wananchi wa Uganda hawaungi mkono muswada wa kufanyia marekebisho katiba ili kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.
-
UN yasisitiza kufanyika uchaguzi mkuu nchini Libya mwaka ujao wa 2018
Dec 03, 2017 03:34Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema Walibya watafanya uchaguzi mwaka ujao wa 2018 kwa kutumia kipindi ambapo kiwango cha uingiliaji wa nchi jirani katika masuala ya nchi hiyo kitafikia kiwango cha chini zaidi.