-
Uongozi wa Imam Khomeini (RA) na athari zake katika kufanikiwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Jan 31, 2025 13:32Karibuni wapendwa wasikilizaji wa Radio Tehran katika mfululizo wa vipindi vyetu vya Alfajiri Kumi na hiki ni kipindi chetu cha kwanza katika kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Hizbullah yaishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa himaya yake ya pande zote
Nov 28, 2024 11:26Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imemshukuru Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kutokana na himaya yake na hatua za kidiplomasia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kusimamisha vita nchini Lebanon.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Kimsingi hasa Wamagharibi ni maadui wa Haki za Binadamu
Apr 06, 2023 03:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Wamagharibi haiwaelekei kwa namna yoyote ile watoe madai ya haki za binadamu na akasisitiza kwamba, kimsingi hasa Wamagharibi ni maadui wa Haki za Binadamu.
-
Ujumbe wa Hania kwa Kiongozi Muadhamu: Tunajivunia misimamo yako adhimu
Feb 15, 2022 03:03Kiongozi wa Harakati wa Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amemtumia salamu na ujumbe maalumu Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kumshukuru kwa misimamo yake ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani
May 27, 2020 03:58Kuingia madarakani Rais Donald Trump wa Marekani huko White House mnamo tarehe 20 Januari 2017 kulifungua ukurasa mpya wa siasa za upande mmoja za nchi hiyo duniani.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Ulimwengu wavutiwa na mafundisho ya kidini
May 09, 2019 09:26Huku akiashiria hitajio muhimu la wamadamu wa leo kuhusiana na mafundisho ya dini na vilevile hamu inayoonyeshwa na Ulimwengu wa Kiislamu na hata jamii zisizokuwa za Kiislamu kuhusu suala hilo, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, leo jukumu la vyuo vya kidini ni zito zaidi ikilinganishwa na huko nyuma.
-
Kiongozi Muadhamu: Hatua za lazima zichukuliwe ili kutatua matatizo ya waathiriwa mafuriko ya Iran
Apr 03, 2019 03:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, ufikishaji huduma, kuweko uratibu katika sekta mbalimbali, hamasa ya kusaidia na moyo wa Kibasiji wa wananchi katika matukio ya mafuriko ya hivi karibuni hapa nchini ni mambo yaliyoonekana wazi katika mikoa kadhaa, lakini bado kuna haja ya kuchukuliwa hatua za lazima na kuendelezwa umakini mkubwa zaidi ili kuhakikisha kwamba, matatizo na machungu ya waathiriwa wa mafuriko hayo yanaondolewa.
-
Mamilioni waadhimisha kumbukumbu za maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (as) duniani kote
Oct 30, 2018 14:48Mamilioni ya Waislamu wafuasi wa Ahlul-Bayti wa Mtume (saw) wameshiriki katika maadhimisho ya kumbukumbu za Arubaini ya Imam Hussein (as), katika pembe mbalimbali za dunia.
-
Kujihami kutakatifuu, siri na ufunguo wa kushinda njama zote za adui
Sep 27, 2018 10:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kumbukumbu za wapiganaji wa Kiislamu katika kipindi cha vita vya kujihami kutakatifu na familia zao ni hazina kubwa isiyo na mbadala na rasilimali ya taifa la Iran.
-
Ayatullah Jannati: Kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya Iran liwe funzo
Sep 04, 2018 13:32Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ahamad Jannati ameashiria Marekani kuvunja ahadi zake na kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA, na kusema hilo linapaswa kuwa funzo kuhusu mazungumzo na Marekani.