-
Bunge la Afghanistan lamtaka Rais Ashraf Ghani awaombe radhi wananchi kwa kukutana na Trump
Dec 01, 2019 23:06Bunge la Afghanistan sambamba na kumkosoa vikali Rais Ashraf Ghani wa nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kukutana na Rais Donald Trump wa Marekani katika kambi ya kijeshi ya Bagram, limemtaka rais huyo awaombe radhi watu wa nchi hiyo.
-
Bunge la Afghanistan lamtaka Rais Ashraf Ghani awaombe radhi wananchi kwa kukutana na Trump
Nov 30, 2019 23:34Bunge la Afghanistan limekosoa mkutano uliofanywa na rais wa nchi hiyo Ashraf Ghani na mwenzake wa Marekani Donald Trump katika kituo cha anga cha Bagram na kumtaka Ashraf Ghani awaombe radhi wananchi wa Afghanistan kwa kitendo hicho.
-
Kiongozi Muadhamu akosoa safari ya kinyemela ya Trump nchini Afghanistan
Nov 30, 2019 01:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa vikali safari za kushtukiza na za kificho zinazofanywa na watawala wa Marekani katika nchi za eneo hili la Asia Magharibi kinyume cha sheria.
-
Trump akutana na Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan
Nov 29, 2019 07:44Katika safari yake ya ghafla nchini Afghanistan, Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Ashraf Ghani wa nchi hiyo.
-
Sisitizo la jeshi la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi katika eneo la Asia Magharibi
Nov 11, 2019 23:26Licha ya Rais Donald Trump kukariri mara chungu nzima kwamba, Washington itaondoa wanajeshi wake katika eneo la Asia Magharibi hususan katika nchi za Syria na Afghnaistan, lakini hali ya mambo ilivyo inaonyesha kuwa, Marekani imeazimia kubakisha na hata kuongeza idadi ya wanajeshi wake pamoja na zana za kijeshi katika eneo hili ikiwa ni katika kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kibabe.
-
Russia yaonya kuhusu hatari ya ISIS nchini Afghanistan na uungaji mkono wa Marekani kwa kundi hilo
Nov 10, 2019 03:50Russia imeonya mara kadhaa kuhusu kuenea harakati za kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) nchini Afghanistan na kuongeza kuwa magaidi hao wakufurishaji wanaungwa mkono na Marekani.
-
HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita
Oct 31, 2019 08:01Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, kikosi cha askari wa Afghanistan kilichopewa mafunzo na kufadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani CIA kimefanya uhalifu wa kivita kutokana na mbinu zao za kuvamia makazi ya raia nyakati za usiku, kupoteza watu, kushambulia vituo vya afya na kuua raia.
-
Serikali ya Kabul: NATO haina nia ya kupunguza idadi ya askari wake walioko Afghanistan
Oct 26, 2019 04:49Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Afghanistan amesema, shirika la kijeshi la NATO halina nia ya kupunguza idadi ya askari wake walioko nchini humo.
-
Safari ya ghafla ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Afghanistan
Oct 21, 2019 23:47Akiwa katika kampeni zake za uchaguzi wa mwaka 2016, Rais Donald Trump wa Marekani aliahidi kuwa angewatoa askari wa nchi hiyo huko Afghanistan, lakini mwenendo huo umekumbwa na vizingiti vingi ambapo hadi sasa hajaweza kutekeleza ahadi hiyo.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi lililoua makumi msikitini Afghanistan
Oct 19, 2019 08:59Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lilioua makumi ya watu ndani ya msikiti katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.