Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Askari 2 wa Iran wauawa katika shambulio la kichokozi la Taliban; utulivu warejea

    Askari 2 wa Iran wauawa katika shambulio la kichokozi la Taliban; utulivu warejea

    May 28, 2023 02:29

    Askari wawili wa mpakani wa Iran wameuawa shahidi huku raia wawili wakijeruhiwa katika shambulizi la kichokozi la wapiganaji wa Taliban katika mpaka wa Jamhuri ya Kiislamu na Afghanistan.

  • Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    May 26, 2023 09:45

    Russia imeituhumu Marekani kuwa inataka kutumia magenge ya kigaidi nchini Afghanistan kwa shabaha ya kuvuruga uthabiti katika eneo zima la Asia ya Kati.

  • Abdollahian: Iran haiitambui serikali ya sasa ya Afghanistan

    Abdollahian: Iran haiitambui serikali ya sasa ya Afghanistan

    May 26, 2023 01:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiutambua mfumo wa serikali unaoongoza hivi sasa nchini Afghanistan.

  • Kujiuzulu  Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake

    Kujiuzulu Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake

    May 19, 2023 01:36

    Duru za Afghanistan zimetangaza kuwa Mullah Mohammad Hassan Akhund aliyekuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Taliban nchini humo amejiuzulu wadhifa huo na tayari mrithi wake ameteuliwa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na Pakistan

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na Pakistan

    May 06, 2023 12:04

    Mawlawi Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan, amewasili Islamabad akiongoza ujumbe maalumu kwa madhumuni ya kukutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa China Qin Gang na wa Pakistan Bilawal Bhutto-Zardari.

  • Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    May 02, 2023 06:41

    Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesema, hali ya Afghanistan ni "tatizo sugu na gumu sana" kuweza kushughulikiwa.

  • Kikao cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan

    Kikao cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan

    Apr 15, 2023 02:41

    Kikao cha nne cha nchi jirani na Afghanistan kilifanyika Alkhamisi ya juzi katika mji wa Samarkand nchini Uzbekistan.

  • Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan

    Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan

    Apr 09, 2023 02:14

    Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.

  • Msimamo wa Umoja wa Mataifa kwa marufuku waliyowekewa wanawake wa Afghanistan wasihudumu katika ofisi za umoja huo

    Msimamo wa Umoja wa Mataifa kwa marufuku waliyowekewa wanawake wa Afghanistan wasihudumu katika ofisi za umoja huo

    Apr 08, 2023 03:00

    Umoja wa Mataifa umefunga ofisi zake zote nchini Afghanistan masaa 48 baada ya serikali ya Taliban kuwapiga marufuku wanawake kufanya kazi katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mkoani Nangarhar.

  • Ahadi mpya ya Taliban kuhusu elimu ya wasichana

    Ahadi mpya ya Taliban kuhusu elimu ya wasichana

    Mar 31, 2023 02:09

    Sher Mohammad Abbas Stanikzai, naibu waziri wa mambo ya nje wa serikali ya Taliban akiwa safarini katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) amezungumzia marufuku ya elimu kwa wasichana Waafghanistani na kusema milango ya elimu haipaswi kufungiwa yeyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS