Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Vifo vya Mpox vyapindukia 1,000 huku maambukizi yakienea katika nchi 18 za Afrika

    Vifo vya Mpox vyapindukia 1,000 huku maambukizi yakienea katika nchi 18 za Afrika

    Oct 18, 2024 10:30

    Bara la Afrika wiki iliyopita lilisajili vifo vipya 50 vilivyosababishwa na ugonjwa wa virusi wa Mpox na hivyo kufanya idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa huo kufikia 1,100 tangu mwanzoni mwa mwaka huu. Ripoti hii ni kwa mujibu wa takwimu mpya za Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa barani Afrika (Africa CDC).

  • Ufaransa yamkamata mwanaharakati anayepinga ukoloni Afrika

    Ufaransa yamkamata mwanaharakati anayepinga ukoloni Afrika

    Oct 16, 2024 03:39

    Mwanaharakati na mwanamajimui mashuhuri wa kupinga ukoloni mamboleo barani Afrika, Stellio Gilles Robert Capo Chichi, maarufu kama Kemi Seba, amekamatwa nchini Ufaransa.

  • WHO: Takriban kesi 30,000 zinazoshukiwa kuwa za ugonjwa wa Mpox zimeripotiwa Afrika mwaka huu

    WHO: Takriban kesi 30,000 zinazoshukiwa kuwa za ugonjwa wa Mpox zimeripotiwa Afrika mwaka huu

    Sep 24, 2024 22:52

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa takriban kesi 30,000 zinazoshukiwa kuwa za ugonjwa wa Mpox zimeripotiwa mwaka huu barani Afrika, huku wengi wa walioambukizwa wakitoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Ramaphosa: Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    Ramaphosa: Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    Sep 19, 2024 23:02

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesisitiza kuwa Afrika inapasa kupewa uwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC).

  • Iran yaazimia kuimarisha uhusiano na Burkina Faso

    Iran yaazimia kuimarisha uhusiano na Burkina Faso

    Sep 12, 2024 07:37

    Balozi wa Iran nchini Burkina Faso, Mojtaba Faqihi amekutana na Abubakar Nakanabo, Waziri wa Uchumi na Fedha wa taifa hilo la Afrika Magharibi na kujadili umuhimu wa kupanua ushirikiano wa pande mbili katika nyuga za kiuchumi, kiufundi na kibiashara.

  • Nigeria: BRICS inayahamasisha mataifa ya Afrika

    Nigeria: BRICS inayahamasisha mataifa ya Afrika

    Aug 29, 2024 23:09

    Balozi wa Manispaa ya Kimataifa ya BRICS (IMBRICS) nchini Nigeria amesema jumuiya ya kiuchumi ya BRICS imekuwa chanzo kikubwa cha motisha na hamasa kwa nchi nyingi za Afrika, kwa kuwa inazihimiza kupigania uhuru wao na kupinga ushawishi na ubeberu wa Magharibi.

  • Afrika kupata chanjo za mpox karibu milioni moja

    Afrika kupata chanjo za mpox karibu milioni moja

    Aug 29, 2024 04:12

    Wakala wa Afya wa Umoja wa Afrika jana ulieleza kuwa unakaribia kupata karibu dozi milioni moja za chanjo ya mpox, na kuwataka wazalishaji kuzipatia taasisi nyingine teknolojia ya kutengeneza chanjo ya mpox ili kukabiliana na ugonjwa huo.

  • Shirika la UN linatafuta msaada wa dola milioni 18.5 kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa Mpox

    Shirika la UN linatafuta msaada wa dola milioni 18.5 kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa Mpox

    Aug 21, 2024 22:47

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) jana Jumatano lilianzisha ukusanyaji fedha zipatazo dola milioni 18.5 zitazotumika kutoa huduma muhimu za afya kwa wahamiaji, wakimbizi wa ndani na jamii wenyeji katika nchi za mashariki, kusini na katika Pembe ya Afrika zilizo katika hatari ya kukumbwa na ugonjwa wa Mpox.

  • SADC: Watu milioni 68 wanasumbuliwa na ukame kusini mwa Afrika

    SADC: Watu milioni 68 wanasumbuliwa na ukame kusini mwa Afrika

    Aug 18, 2024 03:32

    Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imesema makumi ya mamilioni ya watu wameathiriwa na ukame uliosababishwa na El Nino katika eneo la Kusini mwa Afrika, na wanahitaji msaada wa haraka wa chakula.

  • Guterres akosoa muundo wa Baraza la Usalama na kuunga mkono uanachama wa mwakilishi wa Afrika katika baraza la UN

    Guterres akosoa muundo wa Baraza la Usalama na kuunga mkono uanachama wa mwakilishi wa Afrika katika baraza la UN

    Aug 15, 2024 22:57

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametangaza uungaji mkono wake wa kufanyika mabadiliko katika muundo wa Baraza la Usalama na umoja huo na uanachama wa kudumu wa mjumbe wa Afrika katika chombo hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS