-
Juhudi za Macron za kutetea kupunguzwa vikosi vya jeshi la Ufaransa barani Afrika
Mar 01, 2023 22:49Katika mkesha wa safari ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, barani Afrika ambayo inafanyika baada ya nchi hiyo kushindwa na kufeli sera zake barani Afrika; kiongozi huyo wa Ufaransa ametangaza kupunguzwa kwa vikosi vya jeshi vya Ufaransa katika bara hilo.
-
Mali: Russia ni mshirika wa kutegemewa wa nchi za Afrika
Feb 28, 2023 22:50Kaimu Waziri Mkuu wa Mali amesema Russia inaliheshimu na imelisaidia pakubwa taifa hilo la Afrika Magharibi katika vita dhidi ya ugaidi, na imethibitisha kivitendo kuwa haina masharti wala malengo fiche kwenye usaidizi wake.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran
Feb 28, 2023 04:05Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amekutaja kupanua uhusiano na maingiliano na nchi za Kiafrika hususan Zimbabwe kuwa ni moja ya njia kuu za sera za kigeni za Iran.
-
Moscow: US inazishinikiza nchi za Afrika zikate uhusiano na Russia
Feb 26, 2023 08:00Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi za Afrika hivi sasa zinashuhudia mashinikizo makubwa ya kuzitaka zikate uhusiano wao na Russia.
-
Ukame mkubwa umelikumba eneo la Pembe ya Afrika kuliko njaa ya mwaka 2011
Feb 23, 2023 03:24Mwenendo wa ukame katika Pembe ya Afrika unaripotiwa kuwa mbaya zaidi hivi sasa kuliko ilivyokuwa wakati wa njaa ya 2011 ambapo mamia ya maelfu ya watu waliaga dunia.
-
Kuondoka vikosi vya Ufaransa katika nchi ya Burkina Faso
Feb 21, 2023 07:22Hatimaye vikosi vya Ufaransa vimeondoka nchini Burkina Faso na kuhitimisha uwepo wake katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika uliodumu kwa miaka 10.
-
WHO yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mlipuko mpya wa Marburg barani Afrika
Feb 20, 2023 04:11Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uwezekano wa kuenea kwa virusi vya Marburg na kutokea mlipuko mpya wa ugonjwa huo katika bara la Afrika.
-
Guterres: Afrika ipewe kiti cha kudumu Baraza la Usalama la UN
Feb 19, 2023 23:45Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono wito wa kutolewa kiti cha kudumu cha Baraza la Usalama kwa bara la Afrika.
-
Wakuu wa Anglikana Afrika watishia kujitenga na UK kwa kubariki ushoga
Feb 18, 2023 06:17Viongozi wa Kanisa la Kianglikana barani Afrika wametishia kujitenga na Kanisa la Uingereza kwa kubariki na kuruhusu ndoa na mahusiano ya watu wenye jinsia moja.
-
Mkutano wa viongozi wa Afrika kuanza leo, mpango wa "Kunyamazisha Bunduki" unajadiliwa
Feb 18, 2023 00:03Mkutano wa 36 wa viongozi wa nchi za Afrika unaanza leo Jumamosi, katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, kujadili masuala kadhaa hasa maendeleo yaliyopatikana katika kampeni ya "Kunyamazisha Bunduki" na changamoto za usalama wa chakula barani Afrika.