Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Juhudi za Macron za kutetea kupunguzwa vikosi vya jeshi la Ufaransa barani Afrika

    Juhudi za Macron za kutetea kupunguzwa vikosi vya jeshi la Ufaransa barani Afrika

    Mar 01, 2023 22:49

    Katika mkesha wa safari ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, barani Afrika ambayo inafanyika baada ya nchi hiyo kushindwa na kufeli sera zake barani Afrika; kiongozi huyo wa Ufaransa ametangaza kupunguzwa kwa vikosi vya jeshi vya Ufaransa katika bara hilo.

  • Mali: Russia ni mshirika wa kutegemewa wa nchi za Afrika

    Mali: Russia ni mshirika wa kutegemewa wa nchi za Afrika

    Feb 28, 2023 22:50

    Kaimu Waziri Mkuu wa Mali amesema Russia inaliheshimu na imelisaidia pakubwa taifa hilo la Afrika Magharibi katika vita dhidi ya ugaidi, na imethibitisha kivitendo kuwa haina masharti wala malengo fiche kwenye usaidizi wake.

  • Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran

    Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran

    Feb 28, 2023 04:05

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amekutaja kupanua uhusiano na maingiliano na nchi za Kiafrika hususan Zimbabwe kuwa ni moja ya njia kuu za sera za kigeni za Iran.

  • Moscow: US inazishinikiza nchi za Afrika zikate uhusiano na Russia

    Moscow: US inazishinikiza nchi za Afrika zikate uhusiano na Russia

    Feb 26, 2023 08:00

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi za Afrika hivi sasa zinashuhudia mashinikizo makubwa ya kuzitaka zikate uhusiano wao na Russia.

  • Ukame mkubwa umelikumba eneo la Pembe ya Afrika kuliko njaa ya mwaka 2011

    Ukame mkubwa umelikumba eneo la Pembe ya Afrika kuliko njaa ya mwaka 2011

    Feb 23, 2023 03:24

    Mwenendo wa ukame katika Pembe ya Afrika unaripotiwa kuwa mbaya zaidi hivi sasa kuliko ilivyokuwa wakati wa njaa ya 2011 ambapo mamia ya maelfu ya watu waliaga dunia.

  • Kuondoka vikosi vya Ufaransa katika nchi ya Burkina Faso

    Kuondoka vikosi vya Ufaransa katika nchi ya Burkina Faso

    Feb 21, 2023 07:22

    Hatimaye vikosi vya Ufaransa vimeondoka nchini Burkina Faso na kuhitimisha uwepo wake katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika uliodumu kwa miaka 10.

  • WHO yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mlipuko mpya wa Marburg barani Afrika

    WHO yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mlipuko mpya wa Marburg barani Afrika

    Feb 20, 2023 04:11

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu uwezekano wa kuenea kwa virusi vya Marburg na kutokea mlipuko mpya wa ugonjwa huo katika bara la Afrika.

  • Guterres: Afrika ipewe kiti cha kudumu Baraza la Usalama la UN

    Guterres: Afrika ipewe kiti cha kudumu Baraza la Usalama la UN

    Feb 19, 2023 23:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono wito wa kutolewa kiti cha kudumu cha Baraza la Usalama kwa bara la Afrika.

  • Wakuu wa Anglikana Afrika watishia kujitenga na UK kwa kubariki ushoga

    Wakuu wa Anglikana Afrika watishia kujitenga na UK kwa kubariki ushoga

    Feb 18, 2023 06:17

    Viongozi wa Kanisa la Kianglikana barani Afrika wametishia kujitenga na Kanisa la Uingereza kwa kubariki na kuruhusu ndoa na mahusiano ya watu wenye jinsia moja.

  • Mkutano wa viongozi wa Afrika kuanza leo, mpango wa

    Mkutano wa viongozi wa Afrika kuanza leo, mpango wa "Kunyamazisha Bunduki" unajadiliwa

    Feb 18, 2023 00:03

    Mkutano wa 36 wa viongozi wa nchi za Afrika unaanza leo Jumamosi, katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, kujadili masuala kadhaa hasa maendeleo yaliyopatikana katika kampeni ya "Kunyamazisha Bunduki" na changamoto za usalama wa chakula barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS