Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Indhari ya kuenea tishio la Daesh pasi na kutajwa waungaji mkono wake

    Indhari ya kuenea tishio la Daesh pasi na kutajwa waungaji mkono wake

    Feb 13, 2023 22:56

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya katika ripoti yake ya kiduru kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba, licha ya hasara na pigo kubwa lililopita kundi la kigaidi la Daesh katika miaka ya hivi karibuni lakini tishio la la kundi hilo la kigaidi lingali linaongezeka kwa ulimwengu.

  • Botswana yatishia kukata uhusiano na kampuni ya almasi ya Uingereza

    Botswana yatishia kukata uhusiano na kampuni ya almasi ya Uingereza

    Feb 13, 2023 06:47

    Rais Mokgweetsi Masisi wa Botswana ameonya kuwa, huenda nchi yake ikavunja uhusiano na shirika kubwa la kimataifa la almasi la De Beers, lenye makao yake huko London, Uingereza, kwa kupunjwa.

  • Papa alaani ukoloni wa kiuchumi barani Afrika

    Papa alaani ukoloni wa kiuchumi barani Afrika

    Feb 02, 2023 05:45

    Jumanne wiki hii, katika siku ya kwanza ya safari yake Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Papa Francis, kiongozi wa Wakatoliki duniani, amelaani vikali "ukoloni wa kiuchumi" unaotekelezwa barani Afrika na hasa katika nchi hiyo.

  • Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika

    Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika

    Jan 29, 2023 09:09

    Viongozi na watumiaji mitandao ya kijamii katika nchi za Afrika wameijia juu Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa kuchapisha ujumbe wa dharau na kulidhalilisha bara hilo.

  • Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:50

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.

  • Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika

    Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:19

    Washirika wa maendeleo wa Afrika wameahidi kutoa dola bilioni 30 kwa maendeleo ya kilimo na uhuru wa chakula kwa bara hilo katika miaka mitano ijayo.

  • Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Jan 09, 2023 07:20

    Tehran karibuni hivi inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS).

  • Wataalamu: Kuomba radhi hakutoshi, Uholanzi iifidie Afrika kwa utumwa

    Wataalamu: Kuomba radhi hakutoshi, Uholanzi iifidie Afrika kwa utumwa

    Dec 24, 2022 02:35

    Wataalamu, wanaharakati na wasomi wa Afrika wamesema haitoshi kwa nchi Magharibi kuomba radhi kwa kufanya biashara haramu ya utumwa na jinai nyinginezo katika enzi za ukoloni, na badala yake zinapaswa kuzifidia nchi zilizoathiriwa na jinai hizo.

  • Uholanzi: Tulihusika na utumwa, jinai ya wazi dhidi ya binadamu

    Uholanzi: Tulihusika na utumwa, jinai ya wazi dhidi ya binadamu

    Dec 20, 2022 03:36

    Waziri Mkuu wa Uholanzi, ameomba radhi kwa niaba ya serikali ya nchi hiyo kutokana na taifa hilo kuhusika na biashara haramu ya utumwa huko nyuma.

  • Japan yataka Umoja wa Afrika upewe uanachama wa G20

    Japan yataka Umoja wa Afrika upewe uanachama wa G20

    Dec 19, 2022 23:10

    Japan imetangaza kuwa inaunga mkono pendekezo la kupewa uanachama Umoja wa Afrika (AU) katika kundi la G20.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS