Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    Dec 13, 2022 03:29

    Balozi wa China nchini Marekani amepinga madai ya Washington kuwa nchi za Afrika zimenasa kwenye mtego wa Beijing kutokana na madeni.

  • Biashara baina ya Iran na Afrika yaongezeka kwa asilimia karibu 40

    Biashara baina ya Iran na Afrika yaongezeka kwa asilimia karibu 40

    Dec 10, 2022 04:42

    Naibu afisa wa Klabu ya Wafanyabiashara wa Iran-Afrika amesema kuwa biashara kati ya Iran na Afrika imestawi kwa asilimia 40.

  • Zambia: Magendo ya binadamu yanatishia uhuru wa kusafiri Afrika

    Zambia: Magendo ya binadamu yanatishia uhuru wa kusafiri Afrika

    Dec 08, 2022 07:48

    Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amesema magendo ya binadamu linasalia kuwa tishio kuu la uhuru wa kutembea na kusafiri kwa watu wa nchi za Afrika.

  • Guterres: Dunia inaitegemea Afrika kutatua shida zake lakini haiisaidii Afrika kukabili changamoto zake

    Guterres: Dunia inaitegemea Afrika kutatua shida zake lakini haiisaidii Afrika kukabili changamoto zake

    Dec 02, 2022 04:24

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema suala la kusikitisha ni kuwa, licha ya kwamba dunia inaitegemea Afrika kutatua shida zake, lakini bado bara la Afrika halijaweza kuweka tegemeo lake kwa dunia katika kukabili changamoto zinazolikabili.

  • Biashara baina ya Iran, Afrika yapindukia dola milioni 990 ndani ya miezi 7

    Biashara baina ya Iran, Afrika yapindukia dola milioni 990 ndani ya miezi 7

    Dec 01, 2022 23:13

    Miamala ya kibiashara kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika imepindukia dola milioni 990 za Marekani katika kipindi cha miezi saba iliyopita.

  • Upotoshaji wa Rais wa Ufaransa kuhusu ukoloni barani Afrika

    Upotoshaji wa Rais wa Ufaransa kuhusu ukoloni barani Afrika

    Nov 22, 2022 22:59

    Katika hali ambayo jinai za Ufaransa katika mataifa mbalimbali barani Afrika zinaendelea kushuhudiwa; Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuhusiana na satwa na upenyaji wa madola makubwa ya dunia barani Afrika.

  • Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka

    Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka

    Nov 15, 2022 04:21

    Nchi 42 za Afrika zinakutana Zanzibar nchini Tanzania kuanzia leo kujadili na kubadilishana uzoefu kuhusu udhibiti wa sekta ya maji safi na taka Afrika.

  • Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika

    Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika

    Nov 13, 2022 01:11

    Kaimu Mkuu wa Kituo cha Biashara ya Iran na Afrika amesema: "Inatabiriwa kuwa kwa kasi ya sasa ya ustawi wa biashara ya Iran na Afrika katika mwaka huu (1401 Hijria Shamsia) kiwango cha mauzo ya bidhaa za Iran barani Afrika kitafika dola bilioni 1.8.

  • Kesi 6,883 za Ndui ya Nyani ziripotiwa katika nchi 13 za Afrika

    Kesi 6,883 za Ndui ya Nyani ziripotiwa katika nchi 13 za Afrika

    Oct 29, 2022 00:50

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kesi 6,883 za ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) zimeripotiwa katika nchi 13 za bara Afrika tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2022 hadi sasa.

  • Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika

    Oct 29, 2022 00:50

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema mamilioni ya watu wamepoteza makazi yao katika nchi za magharibi na katikati mwa Afrika kutokana na mafuriko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS