-
Takwa la Umoja wa Afrika kwa Wamagharibi la kuamiliana kwa heshima na mataifa masikini
Oct 25, 2022 23:01Kupamba moto vita vya Russia na Ukraine na kusambaa mgogoro wa kiuchumi katika akthari ya mataifa ya dunia, kumezifanya nchi za Kiafrika zitengwe na kutupwa mkono zaidi.
-
Maandamano ya kupinga siasa za Marekani nchini Ethiopia
Oct 25, 2022 06:27Sambamba na kushtadi mapigano nchini Ethiopia na kuvunjwa makubalianao ya usitishaji vita ya miezi mitano na kuwaka tena moto wa vita katika nchi hiyo, maelfu ya Waethiopia walifanya maandamano ya nchi nzima siku ya Jumamosi kulaani uingiliaji wa madola ya kigeni, hasa Marekani, katika masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Hujuma za magaidi zaongezeka kwa 300% Afrika licha ya operesheni za US
Oct 24, 2022 00:32Ripoti mpya ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha kuwa, mashambulizi ya magenge ya wanamgambo yameongezeka kwa asilimia 300 katika nchi za Afrika katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.
-
Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa
Oct 17, 2022 02:18Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.
-
Oxfam: Ukame unatishia maisha ya maelfu ya watu barani Afrika
Oct 15, 2022 23:44Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limetangaza kuwa, ukame barani Afrika huenda ukaua maelfu ya watu katika siku za usoni.
-
UN: Watu karibu milioni 4 wanabikiliwa na utumwa mamboleo Afrika
Oct 08, 2022 07:44Taasisi za Umoja wa Mataifa zimetoa ripoti mpya inayoonesha kushamiri kwa utumwa mamboleo katika nchi za Afrika, ambapo katika kila watu 1000, 29 wanafanyishwa kazi za sulubu barani humo.
-
Ripoti: Zaidi ya watu milioni 37 wanataabika na njaa Pembe ya Afrika
Sep 24, 2022 23:13Inaelezwa kuwa, zaidi ya watu milioni 37 katika eneo la Pembe ya Afrika wanataabika na baa la njaa ambayo imechangiwa na ukame mbaya sana, ambao umeua takriban wanyama milioni 9.
-
John Kerry wa Marekani akosolewa kwa kupuuza mabadiliko ya tabianchi Afrika
Sep 19, 2022 06:29Wanaharakati wa hali ya hewa safi kutoka nchi za Afrika zilizo Kusini mwa jangwa la Sahara, wamemkosoa vikali mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya tabianchi John Kerry kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu kusaidiwa bara la Afrika kukabiliana na athari mbaya za uchafuzi wa hewa.
-
Afrika CDC: Janga la Corona bado ni tishio kwa bara la Afrika
Sep 15, 2022 23:30Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema ugonjwa wa COVID-19 bado ni tishio kwa nchi za Afrika, kwa kuzingatia idadi ndogo ya watu waliopiga chanjo za kukabiliana na maradhi hayo barani humo.
-
Viongozi wa nchi za Afrika wazitaka nchi tajiri kutekeleza ahadi zao
Sep 10, 2022 02:24Wawakilishi wa nchi 24 za Afrika wamezitaka nchi zilizoendelea kutekeleza ahadi zao za kutoa msaada wa kifedha kwa bara la Afrika ilikukabiliana na changamoto za mabadiliko ya hali ya hewa.