Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Waziri wa mambo ya nje wa Russia aendelea na ziara yake Afrika kwa kuitembelea Uganda

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia aendelea na ziara yake Afrika kwa kuitembelea Uganda

    Jul 26, 2022 07:04

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov amewasili nchini Uganda akiendelea na zaira yake katika nchi kadhaa za Afrika.

  • Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya

    Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya

    Jul 26, 2022 02:03

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameanza safari yake ya siku 5 barani Afrika kwa kuitembelea Misri ambako aliwasili Jumapili, Julai 24.

  • Lavrov: Russia na Afrika zinataka kupunguza matumizi ya Dola katika biashara zao

    Lavrov: Russia na Afrika zinataka kupunguza matumizi ya Dola katika biashara zao

    Jul 22, 2022 22:41

    Russia na washirika wake wa Kiafrika wanajaribu kupunguza hatua kwa hatua utumiaji wa sarafu ya dola ya Marekani na euro katika miamala ya kibiashara ya pande zote.

  • Nchi 8 za Afrika miongoni mwa 39 duniani zilizoripoti Monkeypox

    Nchi 8 za Afrika miongoni mwa 39 duniani zilizoripoti Monkeypox

    Jun 19, 2022 23:51

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema nchi 8 za Afrika ni miongoni mwa nchi 39 duniani zilizoripoti kesi zilizothibitishwa za ugonjwa wa Monkeypox.

  • Rais wa AfDB atahadharisha: Janga la uhaba mkubwa wa chakula linainyemelea Afrika

    Rais wa AfDB atahadharisha: Janga la uhaba mkubwa wa chakula linainyemelea Afrika

    Jun 04, 2022 07:12

    Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) amesema, vita kati ya Russia na Ukraine vitasababisha matatizo mengi katika kudhamini chakula kwa ajili ya wakazi wa bara hilo.

  • Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Jun 01, 2022 03:37

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kuimarishwa uhusiano na Afrika

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kuimarishwa uhusiano na Afrika

    May 23, 2022 02:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini na kusema: "Iran haina vizingiti vyovyote katika kustawisha uhusiano na Afrika Kusini na hasa serikali mpya ina azma ya kuimarisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika."

  • Guinea Conakry yaainisha muhula wa kipindi cha mpito cha miezi 36

    Guinea Conakry yaainisha muhula wa kipindi cha mpito cha miezi 36

    May 12, 2022 03:42

    Baraza la Taifa la Guinea la The Rally for Development (CNRD) limetangaza kipindi cha serikali ya mpito nchini humo kuelekea katika utawala wa kiraia kwa muda wa miaka mitatu au miezi 36.

  • Wizara ya Mambo ya Nje: Usafirishaji wa bidhaa za Iran Afrika umeongezeka kwa 120%

    Wizara ya Mambo ya Nje: Usafirishaji wa bidhaa za Iran Afrika umeongezeka kwa 120%

    May 10, 2022 22:11

    Mkuu wa Idara ya Magharibi na Katikati mwa Afrika ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, usafirishaji wa bidhaa kuelekea nchi za bara la Afrika umeongezeka kwa asilimia 120.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro mkubwa wa chakula Afrika

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro mkubwa wa chakula Afrika

    May 07, 2022 22:13

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kupanda pakubwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vya Ukraine, kumeibua mgogoro mkubwa wa chakula barani Afrika ambao haujawahi kushuhudiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS