Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ugonjwa wa Surua waongezeka barani Afrika

    Ugonjwa wa Surua waongezeka barani Afrika

    May 03, 2022 06:21

    Taarifa zinasema kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la ugonjwa wa surua barani Afrika tokea mwanzo wa mwaka huu wa 2022.

  • Nchi za Afrika Magharibi zakubaliana kuhusu mkakati wa hali ya hewa

    Nchi za Afrika Magharibi zakubaliana kuhusu mkakati wa hali ya hewa

    May 01, 2022 06:39

    Viongozi wa Jumuiya ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wamekubaliana kuhusu stratijia ya kikanda kwa ajili ya kushughulikia ongezeko la joto duniani katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

  • IMF: Ongezeko la bei ya chakula na mafuta litachochea machafuko ya kijamii Afrika

    IMF: Ongezeko la bei ya chakula na mafuta litachochea machafuko ya kijamii Afrika

    Apr 29, 2022 22:19

    Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) umetahadharisha kuwa, kupanda kwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vinavyoendelea huko Ukraine kunaweza kusababisha machafuko ya kijamii barani Afrika.

  • Chanjo ya Malaria imewafikia zaidi ya watoto milioni moja barani Afrika

    Chanjo ya Malaria imewafikia zaidi ya watoto milioni moja barani Afrika

    Apr 22, 2022 03:31

    Watoto zaidi ya milioni moja huko Ghana, Kenya na Malawi tayari wamepata dozi ya chanjo ya kwanza ya kujilinda na ugonjwa wa malaria isiyopungua moja.

  • Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi

    Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi

    Apr 17, 2022 21:57

    Kufuatia kuongezeka idadi ya wakimbizi wanaoingia Uingereza kutoka nchi mbali mbali duniani, wakuu wa London wamechukua hatua kali kuzuia wimbi hilo ambapo sasa wanaoingia nchini humo kama wakimbizi watahamishiwa Rwanda huku faili zao zikichunguzwa.

  • Umoja wa Mataifa waonya juu ya kuongezeka mgogoro wa chakula barani Afrika

    Umoja wa Mataifa waonya juu ya kuongezeka mgogoro wa chakula barani Afrika

    Apr 11, 2022 22:31

    Wakati machafuko ya kisiasa na kiuchumi yakiongezeka na janga la Covid-19 likiendelea, Umoja wa Mataifa umeonya katika ripoti yake ya karibuni juu ya hatari ya mgogoro wa chakula, haswa katika nchi za Kiafrika.

  • Euro bilioni 1.8 zakusanywa kwa ajili ya kupambana na njaa Afrika Magharibi

    Euro bilioni 1.8 zakusanywa kwa ajili ya kupambana na njaa Afrika Magharibi

    Apr 08, 2022 22:00

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, Euro bilioni 1.8 zimekusanywa kwa ajili ya kupambana na janga la njaa Afrika Magharibi.

  • Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi

    Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi

    Apr 02, 2022 22:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina azma thabiti na imejitolea kwa dhati kuona bara la Afrika linafanikiwa na kustawi.

  • Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika

    Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika

    Mar 29, 2022 22:30

    Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) ambayo ni mkopeshaji mkubwa barani humo anafanya kila awezalo kuzuia bara la Afrika lisikabiliwa na mgogoro wa chakula kutokana na athari mbaya za vita vya Rusia na Ukraine.

  • Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Mar 24, 2022 22:00

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS