-
Ugonjwa wa Surua waongezeka barani Afrika
May 03, 2022 06:21Taarifa zinasema kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la ugonjwa wa surua barani Afrika tokea mwanzo wa mwaka huu wa 2022.
-
Nchi za Afrika Magharibi zakubaliana kuhusu mkakati wa hali ya hewa
May 01, 2022 06:39Viongozi wa Jumuiya ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wamekubaliana kuhusu stratijia ya kikanda kwa ajili ya kushughulikia ongezeko la joto duniani katika kipindi cha miaka kumi ijayo.
-
IMF: Ongezeko la bei ya chakula na mafuta litachochea machafuko ya kijamii Afrika
Apr 29, 2022 22:19Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) umetahadharisha kuwa, kupanda kwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vinavyoendelea huko Ukraine kunaweza kusababisha machafuko ya kijamii barani Afrika.
-
Chanjo ya Malaria imewafikia zaidi ya watoto milioni moja barani Afrika
Apr 22, 2022 03:31Watoto zaidi ya milioni moja huko Ghana, Kenya na Malawi tayari wamepata dozi ya chanjo ya kwanza ya kujilinda na ugonjwa wa malaria isiyopungua moja.
-
Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi
Apr 17, 2022 21:57Kufuatia kuongezeka idadi ya wakimbizi wanaoingia Uingereza kutoka nchi mbali mbali duniani, wakuu wa London wamechukua hatua kali kuzuia wimbi hilo ambapo sasa wanaoingia nchini humo kama wakimbizi watahamishiwa Rwanda huku faili zao zikichunguzwa.
-
Umoja wa Mataifa waonya juu ya kuongezeka mgogoro wa chakula barani Afrika
Apr 11, 2022 22:31Wakati machafuko ya kisiasa na kiuchumi yakiongezeka na janga la Covid-19 likiendelea, Umoja wa Mataifa umeonya katika ripoti yake ya karibuni juu ya hatari ya mgogoro wa chakula, haswa katika nchi za Kiafrika.
-
Euro bilioni 1.8 zakusanywa kwa ajili ya kupambana na njaa Afrika Magharibi
Apr 08, 2022 22:00Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, Euro bilioni 1.8 zimekusanywa kwa ajili ya kupambana na janga la njaa Afrika Magharibi.
-
Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi
Apr 02, 2022 22:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina azma thabiti na imejitolea kwa dhati kuona bara la Afrika linafanikiwa na kustawi.
-
Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika
Mar 29, 2022 22:30Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) ambayo ni mkopeshaji mkubwa barani humo anafanya kila awezalo kuzuia bara la Afrika lisikabiliwa na mgogoro wa chakula kutokana na athari mbaya za vita vya Rusia na Ukraine.
-
Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa
Mar 24, 2022 22:00Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.