Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • UN: Watu milioni 500 hawana usalama wa maji barani Afrika

    UN: Watu milioni 500 hawana usalama wa maji barani Afrika

    Mar 22, 2022 01:58

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni 500 katika nchi 19 za bara Afrika wanasumbuliwa na ukosefu wa maji safi na salama.

  • Sierra Leone: Si haki Afrika kutowakilishwa katika Baraza la Usalama la UN

    Sierra Leone: Si haki Afrika kutowakilishwa katika Baraza la Usalama la UN

    Mar 13, 2022 04:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sierra Leone ametoa mwito wa kupewa nchi ya Kiafrika uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Kwa akali watu 17 wauawa katika mapigano ya makundi hasimu Darfur, Sudan

    Kwa akali watu 17 wauawa katika mapigano ya makundi hasimu Darfur, Sudan

    Mar 11, 2022 20:33

    Kwa akali watu 17 wameuawa huko Darfur magharibi mwa Sudan baada ya kuibuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu.

  • Afrika Kusini yataka Afrika itumie sarafu moja itakayoimarisha biashara

    Afrika Kusini yataka Afrika itumie sarafu moja itakayoimarisha biashara

    Mar 11, 2022 04:41

    Afrika Kusini imesema inaunga mkono wazo la kuanzisha sarafu moja ambayo itapiga jeki miamala ya kibiashara miongoni mwa nchi za bara hilo.

  • Karibu watoto milioni tatu kupata chanjo ya polio Malawi

    Karibu watoto milioni tatu kupata chanjo ya polio Malawi

    Mar 04, 2022 23:23

    Madaktari na wauguzi watatoa chanjo za kujikinga na ugonjwa wa polio kwa watoto wasiopungua milioni 2.9 huko Malawi. Hayo yameelezwa na Umoja wa Mataifa baada ya mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitatu kuugua ugonjwa huo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lilongwe.

  • Rais wa Guinea-Bissau: Kinara wa dawa za kulevya amehusika na mapinduzi yaliyofeli

    Rais wa Guinea-Bissau: Kinara wa dawa za kulevya amehusika na mapinduzi yaliyofeli

    Feb 11, 2022 23:27

    Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embalo, amemshutumu mkuu wa zamani wa jeshi la wanamaji anayehusishwa na biashara ya dawa za kulevya na washirika wake wawili kuwa walihusika na mapinduzi yaliyoshindwa mapema mwezi huu.

  • WHO: Kesi za Corona Afrika ni mara saba zaidi ya ilivyoripotiwa

    WHO: Kesi za Corona Afrika ni mara saba zaidi ya ilivyoripotiwa

    Feb 10, 2022 23:01

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kesi za maambukizi ya virusi vya Corona barani Afrika ni mara saba zaidi ya kesi zilizoripotiwa rasmi kufikia sasa katika nchi za bara hilo.

  • Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya eneo la Pembe ya Afrika

    Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya eneo la Pembe ya Afrika

    Feb 09, 2022 23:27

    Huku mizozo ya kisiasa na kijamii ikiendelea katika ukanda wa Afrika Mashariki, nchi nyingi za kanda hiyo zinakabiliwa na ukame mkubwa; na ambamba na hayo Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa ukame umesababisha takriban watu milioni 13 katika Pembe ya Afrika kukumbwa na njaa.

  • WFP: Mamilioni wanakabiliwa na njaa Pembe ya Afrika

    WFP: Mamilioni wanakabiliwa na njaa Pembe ya Afrika

    Feb 08, 2022 09:21

    Watu wanaokadiriwa kuwa milioni 13 katika eneo la Pembe ya Afrika wanakabiliwa na njaa kali. Hayo yameelezwa leo Jumanne na Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP).

  • Wapalestina wautaka Umoja wa Afrika kuifukuza Israel katika umoja huo

    Wapalestina wautaka Umoja wa Afrika kuifukuza Israel katika umoja huo

    Feb 05, 2022 10:47

    Viongozi na makundi ya ukombozi wa Palestina wameutaka Umoja wa Afrika (AU) kufikiria upya uamuzi wa mwaka jana wa kuipa Israel hadhi ya kuwa mwangalizi katika umoja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS