Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Maambukizi ya aina mpya ya spishi ya Omicron yachachamaa Afrika Kusini

    Maambukizi ya aina mpya ya spishi ya Omicron yachachamaa Afrika Kusini

    Feb 05, 2022 01:08

    Afrika Kusini imeshuhudia ongezeko la maambukizi ya aina mpya ya spishi ya kirusi cha Corona cha Omicron, iliyopewa jina la kitaalamu la BA.2.

  • Ujumbe wa ECOWAS wawasili Burkina Faso na kukutana wanajeshi wafanyamapinduzi

    Ujumbe wa ECOWAS wawasili Burkina Faso na kukutana wanajeshi wafanyamapinduzi

    Jan 30, 2022 08:55

    Ujumbe wa wakuu wa majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS umewasili nchini Burkina Faso na kukutana na kufanya mazungumzo na wajumbe wa baraza la wanajeshi walioongoza mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo.

  • Amir Abdollahian asisitiza kustawisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Amir Abdollahian asisitiza kustawisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Jan 25, 2022 11:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza suala la kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika na kustawishwa ushirikiano wa pande zote katika sekta mbalimbali kwa maslahi ya pamoja na nchi ya Togo.

  • Rais Ebrahim Raisi: Uhusiano wa Iran na nchi za Afrika utaimarishwa zaidi

    Rais Ebrahim Raisi: Uhusiano wa Iran na nchi za Afrika utaimarishwa zaidi

    Jan 24, 2022 10:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao chake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo kuwa: Suala la kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za bara la Afrika litafuatiliwa kwa umakini na nguvu zaidi.

  • Afrika yalalamikia kupokea chanjo za corona zinazokaribia kupitwa na wakati

    Afrika yalalamikia kupokea chanjo za corona zinazokaribia kupitwa na wakati

    Jan 20, 2022 08:43

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika CDC kimesema kuna udharura wa kupelekwa barani humo chanjo za kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 ambazo muda wake wa matumizi ni baina ya miezi mitatu hadi sita.

  • Nchi za Magharibi mwa Afrika zakata uhusiano wao na Mali

    Nchi za Magharibi mwa Afrika zakata uhusiano wao na Mali

    Jan 10, 2022 04:32

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharini mwa Afrika (ECOWAS) yenye wanachama 15 imechukua uamuzi wa kufunga mipaka ya nchi hizo na Mali na kukata uhusiano wa kidiplomasia na serikali ya Bamako.

  • CAF yaweka sheria za ajabu za corona katika fainali za AFCON 2021 huko Cameroon

    CAF yaweka sheria za ajabu za corona katika fainali za AFCON 2021 huko Cameroon

    Jan 10, 2022 02:47

    Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza sheria zilizowastaajabisha wengi za corona Katika mashindayo yaliyoanza jana ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon.

  • Maambukizi ya Corona Afrika yapindukia kesi milioni 10, WHO yatahadharisha kuhusu tsunami ya kutatanisha

    Maambukizi ya Corona Afrika yapindukia kesi milioni 10, WHO yatahadharisha kuhusu tsunami ya kutatanisha

    Jan 07, 2022 23:20

    Bara la Afrika limevuka visa milioni 10 vilivyorekodiwa vya maambukizi ya Covid-19, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likuonya juu ya tsunami kubwa na ya haraka ya maambukizo ya corona ambayo yanachanganya mifumo ya afya kote duniani.

  • Afrika CDC: Kuzifunga nchi hakuna manufaa katika kudhibiti Corona

    Afrika CDC: Kuzifunga nchi hakuna manufaa katika kudhibiti Corona

    Jan 07, 2022 00:03

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika CDC kimesema kuzifunga nchi na kuweka sheria za kutotoka nje si moja ya njia bora zaidi za kukabiliana na msambao wa virusi vya Corona.

  • Hatimaye Waziri Mkuu wa Sudan atangaza rasmi kujiuzulu

    Hatimaye Waziri Mkuu wa Sudan atangaza rasmi kujiuzulu

    Jan 03, 2022 04:14

    Abdalla Hamdok, Waziri Mkuu wa Sudan ambaye hivi karibuni alitishia kujiuzulu, hatimaye ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo mbele ya waandishi wa habari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS