-
Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti
Aug 23, 2018 12:24Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa
-
Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu
Aug 23, 2018 12:16Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…
-
UN yataka kutatuliwa matatizo ya kiusalama barani Afrika
Aug 11, 2018 09:50Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka taasisi za kimataifa zilizoko barani Afrika kutatua matatizo ya kiusalama katika eneo la Sahel na magharibi mwa bara hilo.
-
Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi
Jul 31, 2018 11:25Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.
-
Iran na Afrika zajadili fursa za ushirikiano wa kibiashara baina yao
Jul 30, 2018 23:43Kikao cha kujadili fursa za kibiashara kati ya Iran na Afrika kimefanyika hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na mabalozi wa nchi za Kenya, Algeria, Ivory Coast, Mauritania na Ghana.
-
Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika
Jul 30, 2018 02:39Askari mmoja wa zamani wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekiri kwamba, aliwanajisi watoto na wanawake wa Kiafrika wakati alipokuwa akihudumia kikosi hicho mwaka 2004.
-
Shakhsia wa Kiafrika: Israel isiruhusiwe kujipenyeza Afrika
Jul 22, 2018 23:12Shakhsia mbalimbali walioshiriki Kongamano la Kuiunga Mkono Palestina katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott wamesisizia udharura wa nchi za Afrika kutouruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kujipenyeza katika bara hilo; na badala yake ziliunge mkono taifa la Palestina.
-
Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika
Jul 15, 2018 09:38Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, baada ya makundi ya kigaidi kushindwa huko Syria na Iraq sasa yanahamishiwa katika maeneo mengine hususan Afghanistan na kaskazini mwa Afrika.
-
Indhari kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel Afrika
Jul 08, 2018 03:09Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.
-
Viongozi wa Afrika wasisitiza kuimarishwa ushirikiano kwa ajili ya kutatua migogoro ya bara hilo
Jul 02, 2018 08:05Kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika AU kimefanyika huko Nouakchott, mji mkuu wa Mauritania chini ya kaulimbiu ya 'Ushindi katika Mapambano dhidi ya Ufisadi; Njia Endelevu Kuelekea Mabadiliko Barani Afrika.'