Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Aug 23, 2018 12:24

    Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa

  • Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu

    Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu

    Aug 23, 2018 12:16

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…

  • UN yataka kutatuliwa matatizo ya kiusalama barani Afrika

    UN yataka kutatuliwa matatizo ya kiusalama barani Afrika

    Aug 11, 2018 09:50

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka taasisi za kimataifa zilizoko barani Afrika kutatua matatizo ya kiusalama katika eneo la Sahel na magharibi mwa bara hilo.

  • Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi

    Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi

    Jul 31, 2018 11:25

    Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.

  • Iran na Afrika zajadili fursa za ushirikiano wa kibiashara baina yao

    Iran na Afrika zajadili fursa za ushirikiano wa kibiashara baina yao

    Jul 30, 2018 23:43

    Kikao cha kujadili fursa za kibiashara kati ya Iran na Afrika kimefanyika hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na mabalozi wa nchi za Kenya, Algeria, Ivory Coast, Mauritania na Ghana.

  • Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika

    Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika

    Jul 30, 2018 02:39

    Askari mmoja wa zamani wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekiri kwamba, aliwanajisi watoto na wanawake wa Kiafrika wakati alipokuwa akihudumia kikosi hicho mwaka 2004.

  • Shakhsia wa Kiafrika: Israel isiruhusiwe kujipenyeza Afrika

    Shakhsia wa Kiafrika: Israel isiruhusiwe kujipenyeza Afrika

    Jul 22, 2018 23:12

    Shakhsia mbalimbali walioshiriki Kongamano la Kuiunga Mkono Palestina katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott wamesisizia udharura wa nchi za Afrika kutouruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kujipenyeza katika bara hilo; na badala yake ziliunge mkono taifa la Palestina.

  • Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Jul 15, 2018 09:38

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, baada ya makundi ya kigaidi kushindwa huko Syria na Iraq sasa yanahamishiwa katika maeneo mengine hususan Afghanistan na kaskazini mwa Afrika.

  • Indhari kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel Afrika

    Indhari kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel Afrika

    Jul 08, 2018 03:09

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.

  • Viongozi wa Afrika wasisitiza kuimarishwa ushirikiano kwa ajili ya kutatua migogoro ya bara hilo

    Viongozi wa Afrika wasisitiza kuimarishwa ushirikiano kwa ajili ya kutatua migogoro ya bara hilo

    Jul 02, 2018 08:05

    Kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika AU kimefanyika huko Nouakchott, mji mkuu wa Mauritania chini ya kaulimbiu ya 'Ushindi katika Mapambano dhidi ya Ufisadi; Njia Endelevu Kuelekea Mabadiliko Barani Afrika.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS