Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Wabunge wa upinzani Zimbabwe wasusia hotuba ya Rais Mnangagwa

    Wabunge wa upinzani Zimbabwe wasusia hotuba ya Rais Mnangagwa

    Sep 18, 2018 10:12

    Wabunge wa kambi ya upinzani nchini Zimbabwe mapema leo wameondoka bungeni na kususia hotuba ya Rais wa nchi hiyo, Emmerson Mnangagwa, ikiwa ni ishara ya hasira zao dhidi ya matokeo ya uchaguzi uliozusha utata wa rais ambayo yalimpa ushindi kiongozi wa chama tawala.

  • Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana

    Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana

    Sep 18, 2018 10:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Afrika daima umekuwa ukiheshimu mamlaka ya kitaifa ya kila nchi na kutilia mkazo suala la ustawi na ushirikiano.

  • Rais wa China alipatia bara la Afrika mabilioni ya dola; asema zisitumike katika miradi ya kifisadi

    Rais wa China alipatia bara la Afrika mabilioni ya dola; asema zisitumike katika miradi ya kifisadi

    Sep 03, 2018 22:09

    Rais Xi Jinping wa China jana Jumatatu aliipatia Afrika kitita kingine cha dola bilioni 60 na kusema kuwa makampuni ya Kichina yatahimizwa kuwekeza kiasi kisichopungua chini ya dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.

  • Watoto milioni tano wamefariki kutokana na vita na mapigano barani Afrika

    Watoto milioni tano wamefariki kutokana na vita na mapigano barani Afrika

    Sep 01, 2018 09:37

    Watoto wapatao milioni tano wenye umri chini ya miaka mitano wamefariki dunia kutokana na vita na mapigano ya utumiaji silaha yaliyotokea katika kipindi cha miaka 20 iliyopita kwenye nchi za bara la Afrika.

  • Jitihada za FAO na AfDB za kupunguza umasikini kwa uwekezaji katika kilimo Afrika

    Jitihada za FAO na AfDB za kupunguza umasikini kwa uwekezaji katika kilimo Afrika

    Aug 29, 2018 00:04

    Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO zimekubaliana kuendeleza juhudi za pamoja za kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo barani Afrika ili kukomesha njaa, na utapia mlo kwa lengo la kupanua wigo wa ustawi na maendeleo barani humo.

  • Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Aug 23, 2018 12:24

    Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa

  • Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu

    Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu

    Aug 23, 2018 12:16

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…

  • UN yataka kutatuliwa matatizo ya kiusalama barani Afrika

    UN yataka kutatuliwa matatizo ya kiusalama barani Afrika

    Aug 11, 2018 09:50

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka taasisi za kimataifa zilizoko barani Afrika kutatua matatizo ya kiusalama katika eneo la Sahel na magharibi mwa bara hilo.

  • Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi

    Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi

    Jul 31, 2018 11:25

    Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.

  • Iran na Afrika zajadili fursa za ushirikiano wa kibiashara baina yao

    Iran na Afrika zajadili fursa za ushirikiano wa kibiashara baina yao

    Jul 30, 2018 23:43

    Kikao cha kujadili fursa za kibiashara kati ya Iran na Afrika kimefanyika hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na mabalozi wa nchi za Kenya, Algeria, Ivory Coast, Mauritania na Ghana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS