-
Austria: Afrika ni ufunguo wa utatuzi wa mgogoro wa Wahajiri
Jul 01, 2018 22:02Kansela wa Austria amevitaja vikao vya pamoja kati ya Ulaya na Afrika kuwa ni nukta adhimu katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa wahajiri.
-
Morocco: Zaidi ya magaidi elfu 10 wapo barani Afrika
Jun 27, 2018 23:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amesema kuwa, zaidi ya magaidi elfu 10 wapo barani Afrika.
-
Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri
Jun 24, 2018 03:09Waziri wa Ulinzi wa Austria, Mario Kunasek ametoa mwito wa kutumwa askari wa Gadi ya Mpakani ya Umoja wa Ulaya katika nchi za Afrika 'zinazoafiki pendekezo hilo' ili kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi hizo kueleke Ulaya.
-
Bunge la Zimbabwe latupilia mbali mpango wa kumsaili Mugabe
Jun 12, 2018 02:40Bunge la Zimbabwe limetupilia mbali mpango wa kutaka kumsaili rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe, kuhusu utendaji wa migodi ya almasi wakati wa uongozi wake.
-
FAO yasema vyama vya ushirika vinaweza kuimarisha kilimo Afrika
Jun 02, 2018 09:15Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa FAO linasema sekta ya ukulima Afrika inaweza kustawishwa zaidi iwapo mkulima wa kijijni naye atajengewa uwezo kupitia vyama vya ushirika.
-
Wanasiasa Uganda watakiwa kuchunga matamshi yao kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola + Sauti
May 31, 2018 13:10Wanasiasa nchini Uganda wameonywa kuhusu kutoa matamshi yanayoweza kuzusha hofu na wasiwasi mkubwa nchini Uganda na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Taharuki Cameroon kufuatia mauaji ya makumi ya watu (RIPOTI)
May 28, 2018 12:30Wakazi wa kaskazini magharibi mwa Cameroon wangali wanaishi katika hali ya taharuki, baada ya makumi ya watu kuuawa katika machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita.
-
Gutteres: Dunia iunge mkono azma ya Afrika yenye amani na ustawi
May 25, 2018 21:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametoa wito kwa dunia kuunga mkono nchi za Afrika ili ziweze kupiga hatua zaidi katika ustawi na maendeleo.
-
Tahadhari yatolewa kuhusu hatari ya kujipenyeza zaidi Wazayuni barani Afrika
May 24, 2018 03:06Waziri wa zamani wa masuala ya kidini wa Senegal ametahadharisha kuhusu hatari ya kuzidi kujipenyeza Wazayuni barani Afrika.
-
EAC: Utashi wa serikali kwenye miradi unatia matumaini ya kupatikana maendeleo endelevu (RIPOTI)
May 19, 2018 23:58Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki amesema utashi wa serikali za mataifa yanayounda jumuiya hiyo unaweka matumaini ya kupata maendeleo endelevu kwenye nchi hizo zinazounda jumuiya ya mataifa sita ya Afrika mashariki.