-
Wabunge wa upinzani Zimbabwe wasusia hotuba ya Rais Mnangagwa
Sep 18, 2018 10:12Wabunge wa kambi ya upinzani nchini Zimbabwe mapema leo wameondoka bungeni na kususia hotuba ya Rais wa nchi hiyo, Emmerson Mnangagwa, ikiwa ni ishara ya hasira zao dhidi ya matokeo ya uchaguzi uliozusha utata wa rais ambayo yalimpa ushindi kiongozi wa chama tawala.
-
Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana
Sep 18, 2018 10:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Afrika daima umekuwa ukiheshimu mamlaka ya kitaifa ya kila nchi na kutilia mkazo suala la ustawi na ushirikiano.
-
Rais wa China alipatia bara la Afrika mabilioni ya dola; asema zisitumike katika miradi ya kifisadi
Sep 03, 2018 22:09Rais Xi Jinping wa China jana Jumatatu aliipatia Afrika kitita kingine cha dola bilioni 60 na kusema kuwa makampuni ya Kichina yatahimizwa kuwekeza kiasi kisichopungua chini ya dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.
-
Watoto milioni tano wamefariki kutokana na vita na mapigano barani Afrika
Sep 01, 2018 09:37Watoto wapatao milioni tano wenye umri chini ya miaka mitano wamefariki dunia kutokana na vita na mapigano ya utumiaji silaha yaliyotokea katika kipindi cha miaka 20 iliyopita kwenye nchi za bara la Afrika.
-
Jitihada za FAO na AfDB za kupunguza umasikini kwa uwekezaji katika kilimo Afrika
Aug 29, 2018 00:04Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO zimekubaliana kuendeleza juhudi za pamoja za kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo barani Afrika ili kukomesha njaa, na utapia mlo kwa lengo la kupanua wigo wa ustawi na maendeleo barani humo.
-
Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti
Aug 23, 2018 12:24Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa
-
Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu
Aug 23, 2018 12:16Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…
-
UN yataka kutatuliwa matatizo ya kiusalama barani Afrika
Aug 11, 2018 09:50Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka taasisi za kimataifa zilizoko barani Afrika kutatua matatizo ya kiusalama katika eneo la Sahel na magharibi mwa bara hilo.
-
Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi
Jul 31, 2018 11:25Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.
-
Iran na Afrika zajadili fursa za ushirikiano wa kibiashara baina yao
Jul 30, 2018 23:43Kikao cha kujadili fursa za kibiashara kati ya Iran na Afrika kimefanyika hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na mabalozi wa nchi za Kenya, Algeria, Ivory Coast, Mauritania na Ghana.