Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika

    Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika

    Jul 30, 2018 02:39

    Askari mmoja wa zamani wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekiri kwamba, aliwanajisi watoto na wanawake wa Kiafrika wakati alipokuwa akihudumia kikosi hicho mwaka 2004.

  • Shakhsia wa Kiafrika: Israel isiruhusiwe kujipenyeza Afrika

    Shakhsia wa Kiafrika: Israel isiruhusiwe kujipenyeza Afrika

    Jul 22, 2018 23:12

    Shakhsia mbalimbali walioshiriki Kongamano la Kuiunga Mkono Palestina katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott wamesisizia udharura wa nchi za Afrika kutouruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kujipenyeza katika bara hilo; na badala yake ziliunge mkono taifa la Palestina.

  • Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Jul 15, 2018 09:38

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, baada ya makundi ya kigaidi kushindwa huko Syria na Iraq sasa yanahamishiwa katika maeneo mengine hususan Afghanistan na kaskazini mwa Afrika.

  • Indhari kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel Afrika

    Indhari kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel Afrika

    Jul 08, 2018 03:09

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha kuhusu mgogoro wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.

  • Viongozi wa Afrika wasisitiza kuimarishwa ushirikiano kwa ajili ya kutatua migogoro ya bara hilo

    Viongozi wa Afrika wasisitiza kuimarishwa ushirikiano kwa ajili ya kutatua migogoro ya bara hilo

    Jul 02, 2018 08:05

    Kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika AU kimefanyika huko Nouakchott, mji mkuu wa Mauritania chini ya kaulimbiu ya 'Ushindi katika Mapambano dhidi ya Ufisadi; Njia Endelevu Kuelekea Mabadiliko Barani Afrika.'

  • Austria: Afrika ni ufunguo wa utatuzi wa mgogoro wa Wahajiri

    Austria: Afrika ni ufunguo wa utatuzi wa mgogoro wa Wahajiri

    Jul 01, 2018 22:02

    Kansela wa Austria amevitaja vikao vya pamoja kati ya Ulaya na Afrika kuwa ni nukta adhimu katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa wahajiri.

  • Morocco: Zaidi ya magaidi elfu 10 wapo barani Afrika

    Morocco: Zaidi ya magaidi elfu 10 wapo barani Afrika

    Jun 27, 2018 23:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amesema kuwa, zaidi ya magaidi elfu 10 wapo barani Afrika.

  • Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Jun 24, 2018 03:09

    Waziri wa Ulinzi wa Austria, Mario Kunasek ametoa mwito wa kutumwa askari wa Gadi ya Mpakani ya Umoja wa Ulaya katika nchi za Afrika 'zinazoafiki pendekezo hilo' ili kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi hizo kueleke Ulaya.

  • Bunge la Zimbabwe latupilia mbali mpango wa kumsaili Mugabe

    Bunge la Zimbabwe latupilia mbali mpango wa kumsaili Mugabe

    Jun 12, 2018 02:40

    Bunge la Zimbabwe limetupilia mbali mpango wa kutaka kumsaili rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe, kuhusu utendaji wa migodi ya almasi wakati wa uongozi wake.

  • FAO yasema vyama vya ushirika vinaweza kuimarisha kilimo Afrika

    FAO yasema vyama vya ushirika vinaweza kuimarisha kilimo Afrika

    Jun 02, 2018 09:15

    Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa FAO linasema sekta ya ukulima Afrika inaweza kustawishwa zaidi iwapo mkulima wa kijijni naye atajengewa uwezo kupitia vyama vya ushirika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS