Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Apr 03, 2018 21:59

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amebatilisha makubaliano kati ya Tel Aviv na Umoja wa Mataifa, kuhusu kupelekwa katika nchi za Magharibi wahajiri wa Kiafrika wanaoishi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Mar 31, 2018 10:34

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Liberia UNMIL kimefunga rasmi mlango uliofunguliwa miaka 15 iliyopita.

  • UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika

    UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika

    Mar 26, 2018 10:49

    Umoja wa Mataifa umezitahadharisha nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika.

  • Maandamano Tel Aviv baada ya kuhani kuwatusi Waafrika kuwa ni nyani

    Maandamano Tel Aviv baada ya kuhani kuwatusi Waafrika kuwa ni nyani

    Mar 25, 2018 10:12

    Watu Zaidi ya 24,000, wengi wakiwa ni wahajiri, wameandamana katika mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakilaani kubaguliwa Waafrika.

  • Afrika Mashariki ni kati ya maeneo yaliyoathiriwa vibaya na majanga duniani mwaka 2017

    Afrika Mashariki ni kati ya maeneo yaliyoathiriwa vibaya na majanga duniani mwaka 2017

    Mar 24, 2018 03:01

    Ukame eneo la Afrika Mashariki na mafuriko makubwa wakati wa pepo za monsuni katika Bara Hindi ni baadhi ya mambo yaliyosababisha mwaka 2017 kuwa mwaka uliogubikwa na matukio mabaya zaidi ya hali ya hewa.

  • Kiongozi wa Kizayuni aliyefananisha Waafrika na nyani akosolewa vikali

    Kiongozi wa Kizayuni aliyefananisha Waafrika na nyani akosolewa vikali

    Mar 21, 2018 10:47

    Kundi moja la kupambana na ubaguzi limemkosoa vikali kiongozi wa kidini wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwafaninisha watu weusi wenye asili ya Afrika na nyani.

  • WHO yatahadharisha kuhusu hatari ya ugonjwa wa Listeriosis barani Afrika

    WHO yatahadharisha kuhusu hatari ya ugonjwa wa Listeriosis barani Afrika

    Mar 21, 2018 03:59

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu hatari ya ugonjwa unaoenea katika nchi kadhaa za Afrika wa Listeriosis unaosababishwa na utumiaji wa bidhaa za nyama.

  • ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini  nchini Tanzania yametelekezwa na serikali

    ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali

    Mar 18, 2018 13:21

    Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani

  • Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri huko Niger

    Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri huko Niger

    Mar 17, 2018 23:02

    Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri kimefanyika huko Niger kwa kuhudhuriwa na viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na wa nchi kadhaa za Ulaya. Mohammed Bazoum Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger amesema kwenye kikao hicho kuwa taathira za mapambano hayo zitaongezeka kwa kiasi kikubwa iwapo kutakuwepo mashirikiano ya kiusalama katika ngazi ya kitaifa na kieneo.

  • UN yaziasa nchi za Afrika zitumie gari za umeme kupunguza uchafuzi wa hewa

    UN yaziasa nchi za Afrika zitumie gari za umeme kupunguza uchafuzi wa hewa

    Mar 15, 2018 03:50

    Umoja wa Mataifa umeziasa nchi za Afrika kuelekeza sera na bajeti zao za fedha katika utumiaji wa gari za nishati ya umeme ili kupunguza uchafuzi wa hewa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS