-
Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika
Apr 03, 2018 21:59Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amebatilisha makubaliano kati ya Tel Aviv na Umoja wa Mataifa, kuhusu kupelekwa katika nchi za Magharibi wahajiri wa Kiafrika wanaoishi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
-
Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15
Mar 31, 2018 10:34Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Liberia UNMIL kimefunga rasmi mlango uliofunguliwa miaka 15 iliyopita.
-
UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika
Mar 26, 2018 10:49Umoja wa Mataifa umezitahadharisha nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika.
-
Maandamano Tel Aviv baada ya kuhani kuwatusi Waafrika kuwa ni nyani
Mar 25, 2018 10:12Watu Zaidi ya 24,000, wengi wakiwa ni wahajiri, wameandamana katika mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakilaani kubaguliwa Waafrika.
-
Afrika Mashariki ni kati ya maeneo yaliyoathiriwa vibaya na majanga duniani mwaka 2017
Mar 24, 2018 03:01Ukame eneo la Afrika Mashariki na mafuriko makubwa wakati wa pepo za monsuni katika Bara Hindi ni baadhi ya mambo yaliyosababisha mwaka 2017 kuwa mwaka uliogubikwa na matukio mabaya zaidi ya hali ya hewa.
-
Kiongozi wa Kizayuni aliyefananisha Waafrika na nyani akosolewa vikali
Mar 21, 2018 10:47Kundi moja la kupambana na ubaguzi limemkosoa vikali kiongozi wa kidini wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwafaninisha watu weusi wenye asili ya Afrika na nyani.
-
WHO yatahadharisha kuhusu hatari ya ugonjwa wa Listeriosis barani Afrika
Mar 21, 2018 03:59Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu hatari ya ugonjwa unaoenea katika nchi kadhaa za Afrika wa Listeriosis unaosababishwa na utumiaji wa bidhaa za nyama.
-
ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali
Mar 18, 2018 13:21Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani
-
Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri huko Niger
Mar 17, 2018 23:02Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri kimefanyika huko Niger kwa kuhudhuriwa na viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na wa nchi kadhaa za Ulaya. Mohammed Bazoum Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger amesema kwenye kikao hicho kuwa taathira za mapambano hayo zitaongezeka kwa kiasi kikubwa iwapo kutakuwepo mashirikiano ya kiusalama katika ngazi ya kitaifa na kieneo.
-
UN yaziasa nchi za Afrika zitumie gari za umeme kupunguza uchafuzi wa hewa
Mar 15, 2018 03:50Umoja wa Mataifa umeziasa nchi za Afrika kuelekeza sera na bajeti zao za fedha katika utumiaji wa gari za nishati ya umeme ili kupunguza uchafuzi wa hewa.