-
Indhari ya WFP kuhusu kuenea njaa kusini mwa Afrika
Feb 10, 2018 12:47Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha kuhusu kuenea njaa eneo la kusini mwa Afrika.
-
Marais wanne wa Afrika, wahanga wa vitendo vya wake zao wenyewe
Feb 05, 2018 01:09Gazeti moja la Kiarabu limechapisha makala inayoonesha namna marais wanne wa nchi za Afrika walivyokuwa wahanga wa vitendo vya wake zao na baadhi yao hata kupoteza nafasi zao za uongozi.
-
Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa
Feb 05, 2018 01:08Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuwapa ilani ya kutimuliwa maelfu ya wahajiri wa Kiafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa Afrika
Feb 03, 2018 23:11Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amefanya safari huko Tunisia na Senegal na kufanya mashauriano na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbili hizo kuhusu masuala mbalimbali kama kuzidisha ushirikiano wa pande mbili, mapambano dhidi ya ugaidi na masuala yanayohusiana na Libya.
-
Nchi za Afrika zakasirishwa na uingiliaji kijeshi wa UAE nchini Eritrea na Somalia
Jan 30, 2018 04:16Baadhi ya nchi za Kiafrika zimepinga vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, kujenga vituo vya kijeshi na kuingilia mambo ya ndani ya Eritrea na Somalia.
-
Umoja wa Afrika kuwawekea vikwazo wanaohatarisha amani Sudan Kusini
Jan 29, 2018 03:00Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utawawekea vikwazo wale wote wanakwaza na kutatiza juhudi za kurejesha amani na usalama nchini Sudan Kusini.
-
Uamuzi wa Afrika wa kurejesha amani kieneo na kimataifa
Jan 29, 2018 01:07Wakuu wa nchi za Afrika wamechukua uamuzi wa kuzidisha jitihada kwa ajili ya kurejesha amani katika uga wa kieneo na kimataifa.
-
Barua ya Trump kwa viongozi wa nchi za Kiafrika
Jan 29, 2018 01:05Katika barua aliyowaandikia viongozi wa nchi za Afrika Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba, anawaheshimu sana watu wa bara hilo.
-
Guterres asema dunia haiwezi kuwa na amani bila kusuluhishwa migogoro ya Afrika
Jan 28, 2018 04:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia umuhimu wa kupatiwa ufumbuzi changamoto na migogoro inayozikumba nchi za bara Afrika kwa maslahi ya amani na maendeleo ya dunia.
-
Trump awaandikia barua viongozi wa nchi za Afrika, adai kuwa "anawaheshimu sana" Waafrika
Jan 28, 2018 00:59Rais Donald Trump wa Marekani amewaandikia barua viongozi wa nchi 55 za Afrika wanaokutana kwenye kikao cha Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia akisema kuwa "anawaheshimu sana" watu wa bara hilo.