Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Tahadhari yatolewa kuhusu kuenea ugonjwa wa malaria barani Afrika

    Tahadhari yatolewa kuhusu kuenea ugonjwa wa malaria barani Afrika

    Jan 27, 2018 01:04

    Viongozi wa Umoja wa Afrika na wa Shirika la Afya Duniani WHO wametahadharisha kuhusiana na uwezekano wa kuenea na kusambaa zaidi ugonjwa wa malaria barani Afrika.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika wakamilisha mkutano wao Addis Ababa

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika wakamilisha mkutano wao Addis Ababa

    Jan 26, 2018 13:20

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Umoja wa Afrika (AU) wamekamilisha mkutano wao leo Ijumaa mjini Addis Ababa huko Ethiopia.

  • Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump

    Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump

    Jan 26, 2018 08:27

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka viongozi wa bara la Afrika kujibu matamshi ya kipumbavu na ya matusi ya Rais wa Marekani dhid ya Waafrika.

  • AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump

    AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump

    Jan 26, 2018 03:44

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema bara la Afrika lilishtushwa na lingali linaendelea kutafakari kuhusu kauli chafu na ya kebehi iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani, kwamba wahamiaji wanaoingia nchini Marekani kutoka bara hilo, Haiti na El Salvador wanatoka kwenye nchi za "shimo la kinyesi".

  • Uchumi wa Bara Afrika watazamiwa kustawi kwa kasi mwaka 2018

    Uchumi wa Bara Afrika watazamiwa kustawi kwa kasi mwaka 2018

    Jan 26, 2018 00:25

    Uchumi wa bara Afrika unatazamiwa kustawi kwa asilimia 3.5 mwaka huu wa 2018 hilo likuwa ni ongezeko la 0.3 kutoka mwaka 2017, amesema afisa wa Umoja wa Mataifa.

  • Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika

    Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika

    Jan 19, 2018 09:51

    Ikiwa ni katika mkondo wa kudumisha uingiliaji wa nchi za Magharibi barani Afrika, serikali za Italia na Uingereza zimeazimia kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika baadhi ya nchi za bara hilo.

  • Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika

    Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika

    Jan 16, 2018 23:09

    Kuendelea hali mbaya na mazingira mabovu waliyonayo wahajiri huko nchini Libya, kumeufanya Umoja wa Ulaya utangaze azma yake ya kushirikiana na Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwarejesha katika nchi zao wahajiri hususan wale walioko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Larijani: Iran daima ina hamu ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Larijani: Iran daima ina hamu ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Jan 14, 2018 04:26

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Jamhuri ya Kiislamu ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika.

  • Matusi ya Trump dhidi ya Waafrika yazidi kulaaniwa

    Matusi ya Trump dhidi ya Waafrika yazidi kulaaniwa

    Jan 13, 2018 04:19

    Mabalozi wa nchi 54 za Afrika katika Umoja wa Mataifa wamelaani vikali matusi na kejeli za rais wa Marekani dhidi ya Waafrika.

  • Boroujerdi: Afghanistan na Afrika walengwa wa baadaye wa Daesh

    Boroujerdi: Afghanistan na Afrika walengwa wa baadaye wa Daesh

    Jan 12, 2018 10:57

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameeleza kuwa magaidi wa kundi la Daesh sasa wameelekea nchini Afghanistan na watajipenyeza pia katika nchi za Kafrika kama ilivyokuwa huko nyuma.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS