-
Tahadhari yatolewa kuhusu kuenea ugonjwa wa malaria barani Afrika
Jan 27, 2018 01:04Viongozi wa Umoja wa Afrika na wa Shirika la Afya Duniani WHO wametahadharisha kuhusiana na uwezekano wa kuenea na kusambaa zaidi ugonjwa wa malaria barani Afrika.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika wakamilisha mkutano wao Addis Ababa
Jan 26, 2018 13:20Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Umoja wa Afrika (AU) wamekamilisha mkutano wao leo Ijumaa mjini Addis Ababa huko Ethiopia.
-
Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump
Jan 26, 2018 08:27Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka viongozi wa bara la Afrika kujibu matamshi ya kipumbavu na ya matusi ya Rais wa Marekani dhid ya Waafrika.
-
AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump
Jan 26, 2018 03:44Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema bara la Afrika lilishtushwa na lingali linaendelea kutafakari kuhusu kauli chafu na ya kebehi iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani, kwamba wahamiaji wanaoingia nchini Marekani kutoka bara hilo, Haiti na El Salvador wanatoka kwenye nchi za "shimo la kinyesi".
-
Uchumi wa Bara Afrika watazamiwa kustawi kwa kasi mwaka 2018
Jan 26, 2018 00:25Uchumi wa bara Afrika unatazamiwa kustawi kwa asilimia 3.5 mwaka huu wa 2018 hilo likuwa ni ongezeko la 0.3 kutoka mwaka 2017, amesema afisa wa Umoja wa Mataifa.
-
Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika
Jan 19, 2018 09:51Ikiwa ni katika mkondo wa kudumisha uingiliaji wa nchi za Magharibi barani Afrika, serikali za Italia na Uingereza zimeazimia kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika baadhi ya nchi za bara hilo.
-
Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika
Jan 16, 2018 23:09Kuendelea hali mbaya na mazingira mabovu waliyonayo wahajiri huko nchini Libya, kumeufanya Umoja wa Ulaya utangaze azma yake ya kushirikiana na Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwarejesha katika nchi zao wahajiri hususan wale walioko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Larijani: Iran daima ina hamu ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika
Jan 14, 2018 04:26Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Jamhuri ya Kiislamu ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika.
-
Matusi ya Trump dhidi ya Waafrika yazidi kulaaniwa
Jan 13, 2018 04:19Mabalozi wa nchi 54 za Afrika katika Umoja wa Mataifa wamelaani vikali matusi na kejeli za rais wa Marekani dhidi ya Waafrika.
-
Boroujerdi: Afghanistan na Afrika walengwa wa baadaye wa Daesh
Jan 12, 2018 10:57Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameeleza kuwa magaidi wa kundi la Daesh sasa wameelekea nchini Afghanistan na watajipenyeza pia katika nchi za Kafrika kama ilivyokuwa huko nyuma.