Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Dunia yaghadhabishwa na maneno machafu ya Trump dhidi ya wahajiri

    Dunia yaghadhabishwa na maneno machafu ya Trump dhidi ya wahajiri

    Jan 12, 2018 10:32

    Asasi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimelaani matamshi machafu yaliyojaa chuki, kejeli na dharau yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akiashiria wahajiri kutoka nchi kadhaa duniani hususan za Afrika wanaoenda kutafuta hifadhi Marekani.

  • Kuongezeka majeshi ya nchi kubwa barani Afrika

    Kuongezeka majeshi ya nchi kubwa barani Afrika

    Jan 12, 2018 01:20

    Hatari ya kueneza zaidi ugaidi barani Afrika ndiyo kisingizio kinachotumiwa sasa na nchi kubwa hususan za Magharibi kwa ajili ya kuhalalisha kuwepo kwa majeshi ya nchi hizo barani Afrika na hilo linaonekana zaidi katika matamshi ya Rais Emanuel Macron wa Ufaransa aliyeiomba China kushirikiana na nchi za kundi la Sahil huko Afrika.

  • UN yalaani hatua ya Israel ya kuwafukuza wahajiri wa Kiafrika

    UN yalaani hatua ya Israel ya kuwafukuza wahajiri wa Kiafrika

    Jan 10, 2018 01:06

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel kufuta mpango ulioanza kuutekeleza hivi karibuni wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika

    Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika

    Jan 04, 2018 10:16

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kutekeleza mpango wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Irada ya Iran ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Irada ya Iran ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Dec 31, 2017 04:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitza azma yake ya kuimarisha uhusiano na nchi za bara la Afrika.

  • Uganda yaalika mashirika zaidi ya Iran kuwekeza nchini humo

    Uganda yaalika mashirika zaidi ya Iran kuwekeza nchini humo

    Dec 16, 2017 12:00

    Spika wa Bunge la Uganda ametoa wito kwa mashirika ya Iran yaimarishe zaidi uwekezaji nchini humo.

  • Viongozi wa nchi za Afrika wana wasiwasi wa kurejea barani humo Madaesh wanaotoka Syria na Iraq

    Viongozi wa nchi za Afrika wana wasiwasi wa kurejea barani humo Madaesh wanaotoka Syria na Iraq

    Dec 14, 2017 12:13

    Viongozi wa nchi za Afrika wamesema wana wasiwasi wa kurejea barani humo maelfu ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) kutoka nchi za Iraq na Syria.

  • Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi afungua mashindano ya baskeli ya Afrika Mashariki na Kati

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi afungua mashindano ya baskeli ya Afrika Mashariki na Kati

    Dec 12, 2017 04:49

    Jumuiya ya Afrika Mashariki imeandaa mashindano ya baskeli nchini Burundi yaliyitishwa kamaishara ya amani nchini humo. Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ambaye pia ni mshiriki wa mashindano hayo ndiye aliyeyazindua. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi:

  • Kwa siku watu 15000 wanalazimika kuwa wakimbizi wa ndani barani Afrika

    Kwa siku watu 15000 wanalazimika kuwa wakimbizi wa ndani barani Afrika

    Dec 06, 2017 04:27

    Vita, ukatili na unyanyasaji unaoendelea kushuhudiwa katika nchi nyingi za Afrika vimesababisha wastani wa watu 15 elfu kuwa wakimbizi wa ndani kila siku, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu 2017.

  • AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya

    AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya

    Dec 04, 2017 11:40

    Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS