Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 08:10

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Njama za utawala haramu wa Israel za kujipenyeza barani Afrika

    Njama za utawala haramu wa Israel za kujipenyeza barani Afrika

    Nov 29, 2017 13:13

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ambaye serikali yake inafanya njama za kujipenyeza barani Afrika amesema kuwa, ana matumaini utawala huo ghasibu utafungua ubalozi mpya katika moja ya nchi za barani hilo.

  • Mbinu za Netanyahu za kutaka kupanua uhusiano wa Israel na nchi za Afrika

    Mbinu za Netanyahu za kutaka kupanua uhusiano wa Israel na nchi za Afrika

    Nov 29, 2017 11:00

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amefanya safari yake ya tatu barani Afrika katika mkakati wake wa kutaka kupanua uhusiano wa utawala huo haramu na nchi za bara hilo kwa kuitembelea Kenya kwa kisingizio cha kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta.

  • Macron: Ufaransa haitokuwa ikiwaamuru tena Waafrika nini wafanye

    Macron: Ufaransa haitokuwa ikiwaamuru tena Waafrika nini wafanye

    Nov 28, 2017 13:14

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema yeye anatokana na kizazi cha viongozi ambao hawatokuwa wakiwaambia Waafrika nini wafanye na badala yake ataelekeza juhudi zake katika kuimarisha uhusiano wa Afrika na Ulaya.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa barani Afrika na uhusiano wa pande hizo mbili

    Safari ya Rais wa Ufaransa barani Afrika na uhusiano wa pande hizo mbili

    Nov 28, 2017 04:03

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika kwa shabaha ya kuzidisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi baina ya nchi yake na nchi za bara hilo.

  • Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji

    Iran: Afrika isigeuzwe kimbilio la magenge ya kigaidi na ukufurishaji

    Nov 24, 2017 12:25

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kufanyika jitihada za kuzuia bara la Afrika kugeuka kuwa kimbilio na kitovu cha magenge ya kigaidi na yenye misimamo ya kufurutu ada, kufuatia kusambaratishwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi za Syria na Iraq.

  • Waislamu Mombasa Kenya walalamikia mavazi ya nusu uchi + Sauti

    Waislamu Mombasa Kenya walalamikia mavazi ya nusu uchi + Sauti

    Nov 24, 2017 02:41

    Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali tabia ya baadhi ya vijana kuvaa mavazi yasiyo ya heshima na kutoa mwito kwa serikali ya Kenya kuiga mfano wa Uganda ambayo inashinikiza mavazi ya heshima hasa katika maeneo ya umma. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi

  • Rwanda kupokea maelfu ya wahamiaji waliokwama Libya + Sauti

    Rwanda kupokea maelfu ya wahamiaji waliokwama Libya + Sauti

    Nov 24, 2017 02:36

    Serikali ya Rwanda imesema kuwa iko tayari kupokea wahamiaji zaidi ya 30,000 wa Kiafrika waliokwama nchini Libya na ambao wanapigwa mnada sokoni na kuuzwa kama bidhaa.

  • Interpol yawatia nguvuni watu 40 kwa kufanya magendo ya binadamu Libya

    Interpol yawatia nguvuni watu 40 kwa kufanya magendo ya binadamu Libya

    Nov 24, 2017 01:03

    Watu wasiopungua 40 wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kufanya magendo ya binadamu katika eneo la magharibi mwa Afrika baada ya kusambaa mkanda wa video unaoonesha wakimbizi wa Kiafrika wakipigwa mnada na kuuzwa kama bidhaa nchini Libya.

  • Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda

    Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda

    Nov 20, 2017 23:10

    Wataalamu wa masuala ya ulinzi kutoka nchi za Afrika Mashariki wanakutana nchini Uganda kujadili njia za kuimarisha amani na usalama kieneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS