Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani

    Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani

    Jul 06, 2019 08:25

    Rais wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo kamwe haitaruhusu uchumi wake uvurugwe na kurejeshwa nyuma kutokana na vita vya kibiashara vya Marekani, vilivyochechewa na wivu.

  • Madada wa Afrika Kusini waishtaki Saudia UN kwa kuwazuilia na kuwatesa

    Madada wa Afrika Kusini waishtaki Saudia UN kwa kuwazuilia na kuwatesa

    Jun 26, 2019 02:16

    Madada wawili wa Afrika Kusini ambao wamewahi kufungwa jela bila kufunguliwa mashitaka nchini Saudi Arabia wamewasilisha malalamiko yao kwa Umoja wa Mataifa.

  • Kuapishwa rais wa Afrika Kusini na mustakbali wa nchi hiyo

    Kuapishwa rais wa Afrika Kusini na mustakbali wa nchi hiyo

    May 27, 2019 02:39

    Baada ya kupita karibu siku 20 tokea kufanyika uchaguzi mkuu wa bunge nchini Afrika Kusini ambapo chama tawala cha African National Congress ANC kiliibuka mshindi, bunge hilo hatimaye limeidhinisha na kumuapisha Cyril Ramaphosa, rais wa sasa wa nchi hiyo kuhudumia kipindi kingine cha miaka mitano.

  • Wabunge Afrika Kusini wamchagua tena Ramaphosa kuwa rais

    Wabunge Afrika Kusini wamchagua tena Ramaphosa kuwa rais

    May 22, 2019 23:59

    Wabunge Afrika Kusini wamemchagua tena Cyril Ramaphosa kuwa rais wa nchi hiyo wiki mbili baada ya chama tawala ANC kushinda katika uchaguzi wa bunge.

  • Chama tawala chashinda uchaguzi wa Afrika Kusini

    Chama tawala chashinda uchaguzi wa Afrika Kusini

    May 13, 2019 00:29

    Baada ya kura za uchaguzi wa Bunge la Afrika Kusini kumalizika kuhesabiwa, chama tawala cha African National Congress ANC, kwa mara nyingine kimefanikiwa kupata wingi wa vita katika bunge hilo.

  • Chama cha ANC chasherehekea ushindi Afrika Kusini

    Chama cha ANC chasherehekea ushindi Afrika Kusini

    May 12, 2019 23:03

    Maelefu ya wafuasi wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC Jumapili walimiminika katika mitaa ya mji wa Johannesburg na maeneo mengine wakisherehekea ushindi wa bunge uliofanyika wiki hii ambapo chama hicho kimetangazwa kuwa mshindi licha ya umashuhuri wake kupungua.

  • Afrika Kusini yaendesha uchaguzi wa rais na bunge, mamilioni waelekea kwenye masanduku ya kura

    Afrika Kusini yaendesha uchaguzi wa rais na bunge, mamilioni waelekea kwenye masanduku ya kura

    May 08, 2019 03:33

    Wananchi wa Afrika Kusini zaidi ya milioni 26 wameajiandikisha kushiriki uchaguzi huo wa leo ambapo kwa kiasi kikubwa chama tawala cha ANC kinatazamiwa kuibuka na ushindi.

  • Shirika moja la Afrika Kusini: Hatufungwi na mipaka yoyote katika kushirikiana na Iran

    Shirika moja la Afrika Kusini: Hatufungwi na mipaka yoyote katika kushirikiana na Iran

    May 03, 2019 09:52

    Mkurugenzi mmoja wa mauzo wa shirika la JDA la Afrika Kusini amesema kuwa, licha ya kuweko vikwazo dhidi ya Tehran, lakini hakuna mipaka yoyote inayokwamisha ushirikiano wa moja kwa moja baina yake na mashirika mbalimbali ya Iran.

  • HRW yataka kukamatwa walioshambuliwa wahamiaji nchini Afrika Kusini

    HRW yataka kukamatwa walioshambuliwa wahamiaji nchini Afrika Kusini

    Apr 16, 2019 09:47

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka watu waliohusika na mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.

  • Rais mteule wa Afrika Kusini kuapishwa Mei 25, Siku ya Afrika

    Rais mteule wa Afrika Kusini kuapishwa Mei 25, Siku ya Afrika

    Apr 14, 2019 10:16

    Ofisi ya Rais nchini Afrika Kusini imetangaza kuwa sherehe za kuapishwa kwa rais mteule zitafanyika Mei 25 ambayo huadhimsihwa duniani kote kama Siku ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS