Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • UNHCR: Watu 6 wameuawa katika hujuma dhidi ya wahajiri Afrika Kusini

    UNHCR: Watu 6 wameuawa katika hujuma dhidi ya wahajiri Afrika Kusini

    Apr 01, 2019 10:39

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limeeleza wasiwasi wake kutokana na wimbi la kushambuliwa raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini yaitisha mkutano na mabalozi wa Afrika baada wageni kushambuliwa

    Afrika Kusini yaitisha mkutano na mabalozi wa Afrika baada wageni kushambuliwa

    Mar 31, 2019 10:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Lindiwe Sisulu anatarajiwa kuitisha mkutano wa dharura na mabalozi wa Afrika kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya raia wa kigeni mjini Durban na Polokwane.

  • Afrika Kusini yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Afrika Kusini yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Mar 27, 2019 03:10

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Rais wa Afrika Kusini asema haiwezekani kuzuia tena mageuzi ya ardhi

    Rais wa Afrika Kusini asema haiwezekani kuzuia tena mageuzi ya ardhi

    Mar 24, 2019 10:26

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema wazungu wanaomiliki vipande vikubwa vya ardhi hawawezi tena kuendelea akupinga sera za marekebisho ya ardhi ambazo serikali yake imeazimia kutekeleza.

  • Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mar 14, 2019 21:48

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.

  • Afrika Kusini kupunguza uhusiano wake na Israel, yawaunga mkono Wapalestina

    Afrika Kusini kupunguza uhusiano wake na Israel, yawaunga mkono Wapalestina

    Mar 09, 2019 11:45

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi yake inapanga kupunguza hadhi ya ubalozi wake katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina kutokana na ukiukaji wa haki za Wapalestina unaofanywa na utawala haramu wa Israel.

  • Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi

    Kamati ya Pamoja ya Iran na Afrika Kusini; kikao kwa ajili ya mashauriano ya kisiasa na kiuchumi

    Mar 09, 2019 08:17

    Kamati ya Tisa ya Kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini imefanya kikao nchini Afrika Kusini na kuhudhuriwa na Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Bi Reginah Mhaule, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Anayehusika na Masuala ya Ushirikiano na Uhusiano wa Kimataifa.

  • Afrika Kusini ina hamu ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran

    Afrika Kusini ina hamu ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran

    Mar 08, 2019 04:32

    Spika wa Bunge la Kitaifa la Afrika Kusini ameeleza juu ya utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Khumalo: Afrika Kusini inafuatilia kupanuliwa mabadilishano ya kibiashara kati yake na Iran

    Khumalo: Afrika Kusini inafuatilia kupanuliwa mabadilishano ya kibiashara kati yake na Iran

    Feb 22, 2019 04:33

    Balozi wa Afrika Kusini hapa mjini Tehran amesema kuwa, kuna uwezo mkubwa mno katika sekta mbalimbali nchini Iran hususan katika uga wa madini, utalii na teknolojia ya mawasiliano na kwamba, nchi yake inaweza kuyatumia hayo kwa ajili ya kupanua zaidi ushirikiano kati yake na Iran.

  • Afrika Kusini: Kujiondoa Marekani JCPOA hakuathiri uhusiano wetu na Iran

    Afrika Kusini: Kujiondoa Marekani JCPOA hakuathiri uhusiano wetu na Iran

    Feb 21, 2019 12:12

    Balozi wa Afrika Kusini mjini Tehran amesema hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA haitapunguza ushirikiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga za uchumi, biashara na utamaduni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS