-
Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika Kusini
Feb 05, 2019 12:30Balozi za nchi tano za Magharibi nchini Afrika Kusini zimemuandikia barua ya kuomba radhi Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo, baada ya kukiuka protokali za kibalozi.
-
Chama cha ANC na ajenda yake ya kuandaa ajira zaidi kuelekea uchaguzi wa 2019
Jan 12, 2019 10:25Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameahidi kuandaa ajira zaidi, kuboresha uchumi na kushughulikia suala la ubaguzi wa rangi nchini humo. Rais Ramaphosa ameyasema hayo akihutubia mkutano wa chama chake wa kufungua kampeni za uchaguzi wa bunge wa mwaka huu.
-
'Utatuzi wa suala la ardhi Afrika Kusini ni chanzo cha umoja wa kitaifa'
Dec 25, 2018 03:39Naibu Rais wa Afrika Kusini, David Mabuza, amesema kuwa, kutatua suala la ardhi kutaleta umoja wa kitaifa, mshikamano na hisia za utaifa nchini humo.
-
Ajali za barabarani zaua watu zaidi 760 ndani ya siku 20 Afrika Kusini
Dec 21, 2018 11:04Watu 767 wamefariki dunia katika ajali za barabarani zilizotokea mwezi huu wa Disemba nchini Afrika Kusini.
-
Chama kikuu cha upinzani Afrika Kusini chapinga marekebisho ya katiba
Dec 04, 2018 21:40Chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini kimetangaza kuwa, yumkini kikaenda mahakamani kusimamisha pendekezo la kufanyika marekebisho ya ardhi baada ya Bunge kupasisha ripoti inayoidhinisha kufanyika marekebisho ya katiba yatakayoruhusu kutwaliwa ardhi zinazomilikiwa na wazungu waliowachache bila ya kulipwa fidia.
-
Kushtadi ghasia Afrika Kusini kutokana na huduma mbovu na umaskini
Oct 18, 2018 00:42Ghasia na machafuko yanayoendelea kuikumba Afrika Kusini kutokana na wananchi kutoridhishwa na huduma mbovu na umaskini zimeongezeka pakubwa katika mwaka huu wa 2018. Hayo ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa jana Jumatano.
-
Rais Rouhani: Uwezo wa kiuchumi wa Iran na Afrika Kusini unaweza kunufaisha kila upande
Oct 17, 2018 00:48Rais Hassan Rouhani amesema Iran na Afrika Kusini zina uwezo na fursa nzuri sana ambazo zinaweza kutoa mchango kamilishi kwa uchumi wa nchi mbili.
-
Iran na Afrika Kusini kustawisha uhusiano wao wa kiulinzi
Oct 15, 2018 00:16Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Wizara ya Ulinzi ya Iran na Waziri wa Ulinzi wa Afrika Kusini wamesisitizia kustawishwa ushirikiano wa kiulinzi na kijeshi kati ya nchi mbili.
-
Mjukuu wa Mandela: Utawala kandamizi wa Israel ni mbaya zaidi kuliko ule wa ubaguzi wa rangi
Oct 12, 2018 13:42Mjukuu wa shujaa wa uhuru wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela amefananisha mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya waandamanaji wa Palestina huko katika Ukanda wa Gaza na mauaji yaliyofanywa na utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini katika eneo la Sharpeville mwaka 1960 na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni mbaya zaidi kuliko ule wa apartheid.
-
Iran na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi
Oct 12, 2018 01:03Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimesisitiza juu ya azma zilionayo ya kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi baina yao.