Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini yatuhumiwa kushirikiana na Saudia katika mauaji ya watu wa Yemen

    Afrika Kusini yatuhumiwa kushirikiana na Saudia katika mauaji ya watu wa Yemen

    Oct 08, 2018 11:17

    Serikali ya Afrika Kusini imetuhumiwa kuwa inashirikiana na Saudi Arabia katika mauaji yanayofanywa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia nchini Yemen.

  • Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ

    Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ

    Oct 07, 2018 04:18

    Idara ya Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa ya Afrika Kusini imepongeza hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuiagiza Washington isimamishe vikwazo vyake vya upande mmoja dhidi ya Iran haraka iwezekanavyo.

  • Afrika Kusini yatakiwa kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia

    Afrika Kusini yatakiwa kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia

    Oct 04, 2018 23:33

    Wanaharakati wa masuala ya amani na haki za binadamu wa Afrika Kusini wameitaka serikali ya nchi hiyo isimamishe ushirikiano wake wa kijeshi na Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Riyadh hususan nchini Yemen.

  • Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini

    Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini

    Oct 04, 2018 10:41

    Rais wa Namibia ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na Wazungu nchini humo na kuyagawa kwa wananchi wazalendo wa nchi hiyo.

  • Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani

    Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani

    Oct 01, 2018 23:42

    Maandamano yaliyofanywa na wakazi wa jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini kulalamikia hali mbaya ya ukosefu wa usalama yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko makubwa.

  • Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Sep 26, 2018 23:30

    Serikali ya Afrika Kusini imekanusha taarifa zilizoenea kwamba, imemrejesha huko Tel Aviv balozi wake ambaye ilimwita nyumbani mwezi Mei mwaka huu.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia

    Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia

    Sep 26, 2018 00:36

    Rais wa Afrika Kusini amezitaka nchi zote duniani kutia saini mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia wa mwaka 2017 TPNW kwa kifupi.

  • Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili

    Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili

    Sep 18, 2018 02:47

    Waziri wa Elimu ya Msingi wa Afrika Kusini amesema shule za nchi hiyo zitaanza kufunza lugha ya Kiswahili kuanzia mwaka 2020.

  • Wakulima Afrika Kusini: Trump! Tuache tupumue!

    Wakulima Afrika Kusini: Trump! Tuache tupumue!

    Aug 26, 2018 22:50

    Wakulima nchini Afrika Kusini wamekasirishwa na matamshi ya kichochezi ya rais wa Marekani, Donald Trump na kumtaka asijiingize katika mambo yasiyomuhusu.

  • Uhusiano wa Marekani na Afrika Kusini matatani, misimamo ya kibaguzi ya Trump yazusha mtafaruku

    Uhusiano wa Marekani na Afrika Kusini matatani, misimamo ya kibaguzi ya Trump yazusha mtafaruku

    Aug 25, 2018 06:44

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akidhihirisha misimamo yake ya kibaguzi tangu wakati wa kampeni za uchaguzi wa rais na hata baada ya kuingia Ikulu ya White House.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS