Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini nayo yajibu mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi yake

    Afrika Kusini nayo yajibu mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi yake

    Aug 22, 2018 09:57

    Serikali ya Afrika Kusini imelalamikia vikali mashinikizo ya serikali ya Marekani dhidi ya uchumi wa nchi hiyo na imeamua kutopeleka tena mifugo yake ya jamii ya kuku huko Marekani kama njia ya kupinga ushuru mpya ziliowekewa bidhaa zake na serikali ya Donald Trump.

  • ANC yaitaka serikali itwae ardhi kwa wale wote wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 nchini Afrika Kusini

    ANC yaitaka serikali itwae ardhi kwa wale wote wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 nchini Afrika Kusini

    Aug 15, 2018 22:03

    Mwenyekiti taifa wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha (ANC) amenukuliwa wiki hii akisema kuwa serikali inapasa kuchukua ardhi za wale wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 bila ya kuwalipa fidia; matamshi ambayo yamepelekea kupungua thamani ya pesa ya nchi hiyo.

  • Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaagiza kuondolewa Mwendesha Mashtaka Mkuu aliyeteuliwa na Zuma

    Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaagiza kuondolewa Mwendesha Mashtaka Mkuu aliyeteuliwa na Zuma

    Aug 14, 2018 03:49

    Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini imebatilisha uteuzi wa Mwendesha Mashtaka Mkuu ambaye alipewa kazi baada ya rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma kumfuta kazi aliyekuwepo kabla yake. Mahakama hiyo imetaka Mwendesha Mashtaka Mkuu wa zamani arejeshwe kazini katika muda wa siku 90.

  • Afrika Kusini inaendelea kuziuzia Saudia, Imarati silaha zinazoua Wayemen

    Afrika Kusini inaendelea kuziuzia Saudia, Imarati silaha zinazoua Wayemen

    Jul 27, 2018 03:21

    Ripoti ya kila mwaka ya Kamati ya Kitaifa ya Kudhibiti Silaha nchini Afrika Kusini (NCACC) inaonesha kuwa, Saudi Arabia na Imarati zinaendelea kurundika silaha zinazonunua kutoka nchi hiyo ya Kiafrika, na ambazo zinatumika mashambulizi dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • China, Afrika Kusini zatoa wito wa kushirikiana kibiashara katika mkutano wa BRICS

    China, Afrika Kusini zatoa wito wa kushirikiana kibiashara katika mkutano wa BRICS

    Jul 25, 2018 09:53

    China na Afrika Kusini leo zimezitolea wito nchi wenza zinazounda kundi la BRICS kupambana na kile kilichotajwa na nchi hizo kuwa ni hatua ya kuvilinda na ushindani wa nje viwanda vya ndani vya nchi moja kupitia ushuru wa forodha.

  • Madereva 11 wa taxi Afrika Kusini wapigwa risasi na kuuawa wakitoka mazishini

    Madereva 11 wa taxi Afrika Kusini wapigwa risasi na kuuawa wakitoka mazishini

    Jul 22, 2018 03:02

    Maderva 11 wa taxi wamepigwa risasi na kuuawa nchini Afrika Kusini wakati wakirejea mjini Johannesburg baada ya kuhudhuria mazishi ya mwenzao katika eneo la Kwa-Zulu Natal.

  • Afrika Kusini yasema itaendelea kulaani jinai za Israel huko Palestina

    Afrika Kusini yasema itaendelea kulaani jinai za Israel huko Palestina

    Jul 08, 2018 23:22

    Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina hususan katika Ukanda wa Gaza hayakubaliki na kwamba kwa sababu hiyo balozi wake hatarejea Tel Aviv.

  • Waislamu Afrika Kusini walaani mauaji ya kikatili msikitini

    Waislamu Afrika Kusini walaani mauaji ya kikatili msikitini

    Jun 15, 2018 11:07

    Baraza la Kisheria la Waislamu la Afrika Kusini (MJC) limelaani vikali shambulizi la kikatili lililotokea Alhamisi katika eneo la Malmesbury karibu na mji wa Cape Town, na kusababisha vifo vya waumini wawili wa Kiislamu na wengine wawili kujeruhiwa.

  • Zarif arejea Tehran kutokea Afrika Kusini

    Zarif arejea Tehran kutokea Afrika Kusini

    Jun 14, 2018 10:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amerejea hapa Tehran leo asubuhi baada ya kumaliza ziara rasmi nchini Afrika Kusini ambako alionana na kufanya mazungumzo na viongozi wa mbalimbali wa nchi hiyo.

  • Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini

    Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini

    Jun 14, 2018 03:42

    Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kuuawa kwa kudungwa visu wakiwa msikitini, baada ya mtu mmoja kuvamia eneo hilo la ibada nchini Afrika Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS