-
Madaktari wasio na mipaka watahadharisha kuhusu kusambaratika mfumo wa afya na tiba Yemen
Jun 14, 2020 10:32Mkuu wa wahudumu wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) huko Yemen amesema kuwa hali ya kiafya na kitiba katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita imezidi kuwa ya hatari kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Baada ya vitisho, hatimaye Trump akata uhusiano na WHO
May 30, 2020 08:10Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kukata uhusiano na Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.
-
Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China
May 19, 2020 07:39Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.
-
WHO yatangaza mlipuko mpya wa ugonjwa wa Polio nchini Niger
Apr 29, 2020 12:42Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa Niger imekumbwa na mlipuko mpya wa ugonjwa wa kupooza viungo vya mwili wa Polio, baada ya kusimamishwa utoaji wa chanjo ya ugonjwa huo kufuatia mlipuko wa janga la Corona.
-
Mawaziri wa Afya wa G20 wakiri: Mfumo wa afya duniani ni dhaifu, wajadili njia za kuuimarisha
Apr 21, 2020 06:09Mawaziri wa Afya wa nchi wanachama katika G20 walioshiriki kwenye mkutano uliofanyika kwa njia ya video wamechunguza athari mbaya za mlipuko wa virusi vya corona na kukiri kwamba, mfumo wa afya duniani ni dhaifu na kwamba mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona umeweka wazi uhakika huo.
-
Kianoush Jahanpour: Zaidi ya watu 2100 wapona virusi vya corona nchini Iran
Mar 08, 2020 13:34Wizara ya Afya ya Iran imetangaza kuwa, hadi sasa zaidi ya watu 2100 walioambukizwa virusi vya corona hapa nchini wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
-
Lassa yaingia Lagos, idadi ya waliokufa kwa homa hiyo Nigeria yapindikua 100
Feb 21, 2020 02:42Kesi ya kwanza ya mlipuko wa homa ya Lassa imethibitishwa katika mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos huku idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo nchini humo ikiongezeka.
-
Uvutaji sigara huongeza masaibu baada ya upasuaji
Jan 22, 2020 01:04Wavutaji wa sigara au bidhaa za tumbaku wako katika hatari kubwa ya kupata masaibu na matatizo zaidi baada ya kufanyiwa upasuaji kuliko wasiovuta bidhaa hizo.
-
Mlipuko wa ugonjwa wa surua waua watu 70 Samoa
Dec 10, 2019 07:37Umoja wa Mataifa umesema mlipuko wa ugonjwa wa surua (measles) umeua makumi ya watu katika kisiwa cha Samoa kilichoko katika Bahari ya Pacific.
-
WHO: Malaria ingali tishio, yaua mtoto mmoja katika kila dakika 2
Dec 04, 2019 07:12Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema ugonjwa wa malaria ungali tishio kubwa linalowaathiri mamilioni ya watu kila mwaka kote duniani hususan katika nchi za Afrika.