Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ajali, tukio

  • Ajali mbaya ya treni yaua na kujeruhi watu 108 nchini Taiwan

    Ajali mbaya ya treni yaua na kujeruhi watu 108 nchini Taiwan

    Apr 02, 2021 14:16

    Watu 108 wameuawa na kujeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea mashariki ya kisiwa cha Taiwan

  • Makumi wapoteza maisha kwenye mkasa wa moto kiwandani Misri

    Makumi wapoteza maisha kwenye mkasa wa moto kiwandani Misri

    Mar 12, 2021 02:42

    Makumi ya watu wamefariki dunia huku wengine wengi wakijeruhiwa kutokana na ajali ya moto iliyokikumba kiwanda kimoja cha nguo katika mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Feb 16, 2021 07:55

    Watu wasiopungua 60 wamefariki dunia kufuatia ajali ya boti magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN: Watu 3,700 wanapoteza maisha kila siku katika ajali za barabarani

    UN: Watu 3,700 wanapoteza maisha kila siku katika ajali za barabarani

    Nov 16, 2020 03:04

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kuongezeka idadi ya vifo vinavyosababishwa na ajali za barabarani duniani na kubainisha kuwa, watu 3,700 wanaaga dunia kila siku katika ajali hizo.

  • Magufuli asikitishwa na 'ajali' ya moto iliyoua wanafunzi 10 Tanzania

    Magufuli asikitishwa na 'ajali' ya moto iliyoua wanafunzi 10 Tanzania

    Sep 15, 2020 07:48

    Rais John Magufuli wa Tanzania ametuma salamu za rambirambi kwa uongozi wa Shule ya Kiislamu ya Byamungu iliyopo wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera kufuatia mkasa wa moto uliosababisha maafa. Rais Magufuli ametoa mkono wa pole kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa wanafunzi 10 waliopoteza maisha katika ajali hiyo ya usiku wa kuamkia jana.

  • Makumi wahofiwa kufa maji katika ajali ya kuzama boti Kongo DR

    Makumi wahofiwa kufa maji katika ajali ya kuzama boti Kongo DR

    Sep 16, 2019 11:55

    Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti iliyotokea katika kijiji cha Mambutuka, eneo la Maluku huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Basi labingiria bondeni na kuua watu 43 nchini India

    Basi labingiria bondeni na kuua watu 43 nchini India

    Sep 11, 2018 14:09

    Kwa akali watu 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya basi la abiria kubingiria kwenye bonde, katika wilaya ya Jagtial kusini mwa India.

  • Rais Kenyatta aagiza uchunguzi baada ya ajali kuua watu 20 Kenya

    Rais Kenyatta aagiza uchunguzi baada ya ajali kuua watu 20 Kenya

    May 13, 2017 13:53

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameagiza uchunguzi kufanyika baada ya watu 20 kupoteza maisha Jumamosi asubuhi kufuatia ajali mbaya ya barabarani katika barabara ya Nairobi-Nakuru.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS