Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Waziri wa Sheria wa Algeria: Waalgeria 226 wamejiunga na Daesh

    Waziri wa Sheria wa Algeria: Waalgeria 226 wamejiunga na Daesh

    Dec 19, 2017 04:33

    Waziri wa Sheria wa Algeria ametangaza kuwa raia wa nchi hiyo wasiopungua 226 wameelekea katika nchi za Iraq na Syria kwa ajili ya kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh.

  •  Fayez al Sarraj aitolea wito Algeria kushiriki katika mazungumzo ya kitaifa ya Libya

    Fayez al Sarraj aitolea wito Algeria kushiriki katika mazungumzo ya kitaifa ya Libya

    Dec 18, 2017 11:00

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ameitaka Algeria ishiriki pakubwa katika kusogeza mbele mazungumzo ya kusaka amani ya nchi yake.

  • Nigeria yambadilisha kamanda wa kupambana na Boko Haram

    Nigeria yambadilisha kamanda wa kupambana na Boko Haram

    Dec 07, 2017 04:05

    Nigeria imeamua kumbadilidhsa kamanda wa jeshi anayeongoza vita dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram ikiwa imepita nusu mwaka tu tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo.

  • Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Dec 07, 2017 04:05

    Nchi za Kiafrika za Misri, Tunisia na Algeria zimetoa taarifa tofauti za kulaani uamuzi wa rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Macron: Ni wakati wa kusonga mbele na kusahau zama za kukoloniwa Algeria

    Macron: Ni wakati wa kusonga mbele na kusahau zama za kukoloniwa Algeria

    Dec 06, 2017 22:06

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa yuko Algeria katika ziara ya siku moja ambapo amesisitiza suala la kufunguliwa ukurasa mpya wa uhusiano kati ya nchi mbili hizio na kusema kuwa, hatoendelea kuwa mateka wa zama zilizopita za ukoloni wa Ufaransa.

  • Spika wa Bunge la Algeria: Umoja baina ya Waislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu

    Spika wa Bunge la Algeria: Umoja baina ya Waislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu

    Dec 06, 2017 01:23

    Spika wa Bunge la Algeria amesema kuwa ushirikiano unaondoa hitilafu na mifarakano na matunda yake makubwa ni utajiri mkubwa ambao tunalazimika kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa ajili yake.

  • Sisitizo la kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya maghasibu wa Kizayuni

    Sisitizo la kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya maghasibu wa Kizayuni

    Nov 29, 2017 00:53

    Shakhsia na taasisi zisizo za kiserikali za nchini Algeria wamesisitiza kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa maghasibu wa Kizayuni.

  • Ushindi wa Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa katika uchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo nchini Algeria

    Ushindi wa Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa katika uchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo nchini Algeria

    Nov 25, 2017 10:49

    Chama cha Harakati ya Ukombozi wa Taifa cha Algeria kimeshinda katika kuchaguzi wa mabaraza ya miji na mabunge ya majimbo uliofanyika karibuni nchini humo.

  • Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Nov 16, 2017 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ametahadharisha kwamba, wanachama wa kundi hatari la kigaidi na kitakfiri la Daesh, wanakusudia kuweka kambi na kujizatiti katika nchi za kaskazini mwa Afrika.

  • Ombi la kutaka Afrika itengewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama

    Ombi la kutaka Afrika itengewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama

    Nov 12, 2017 09:45

    Mwakilishi wa Algeria katika Umoja wa Mataifa, ametoa mwito wa kufanyika marekebisho katika muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutengewa Afrika viti viwili vya kudumu kkatika baraza hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS